kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
WAKAZI wa maeneo ya Mbagala Kizuiani, Rangitatu na maeneo mengine ya karibu jana waliingia katika wasiwasi mwingine wa kuhofia kuondoa uhai wao baada ya Simba kuvamia maeneo hayo.
Wasiwasi mkubwa ulitanda kwa wakazi hao kuanzia majira ya asubuhi jana baada ya kuikia ngurumo ya Simba jike likilia kwa kutoa ngurumo la kuashiria alikwua maeneo hayo.
Wakazi hao walikumbwa na dhoruba hiyo na kufanya wakimbie huko na huko kunusuru maisha yao.
Ilifahamika kuwa kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Abdallah alimuona Simba huyo na kupishana naye majria ya alfajiri alipokuwa akienda kisimani kuchota maji huko maeneo ya mtaa wa Kimbangulile eneo mabalo liko karibu na mto Mzinga.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo Bw. Kessy zilisema kuwa awali baadhi ya watu walimuona Simba huyo lakini hawakuweza kuthitisha kutokana na giza lililokwua limetanda lakini kadri kulivyozidi kupambazuka ngurumo zake zilizidi kusikika na wakazi wa maenejno hayo kubaini kuwa walikuwa na mnyama huyo katika mtaa huo.
Hivyo kutokana na hilo kijana mmoja aliyetambulika wka jina la Nassoro Allly alianza kumfurumusha Simba huyo kwenye gofu la nyumba dambalo lilikuwa halijamalizika kiujenzi ambako alikuwa amejificha na hatimaye alimruki maeneo ya shingoni na kujeruhiwa vibaya na simba huyo.
Alisema baada ya kuhakikisha ukweli huo alipiga simu polisi kwa msaada zaidi ambapo askari watano wa Kituo cha Polisi Kizuiani walifika hapo majira saa 1:30 na kuanza kumsaka kwenye maficho yake na kumpiga risasi bila mafanikio kutokana na bunduki aina ya SMG kuonekana kutomudu kumuua mpaka zilipotumika silaha kubwa zaidi
Alsiema samba huyo aliweza kuuwa majira ya Saa 2 asubuhi na wananchi wa maeneio hayo kupiga shangwe kwa kufanikiwa kuuawa kwa sima huyo.
Hata hivyo NIFAHAMSIHE iliabarishwa na mpasahji habari aliyekwua eneo la tukio kuwa kioja kilitokea wka wakazi hao kuonekana kuanza kufanya fujo kugombania viungo kwa matumizi yao wanayoyafahamu huku wengine wakidai kutaka kuchukua nyama na vurugu ikatanda maeneo hayo hadi askari polisi walipowatawanya wananchi hao kwa kurusha risasi hewani na kukimbia ambapo awali walilizingiri gari la polisi lililobeba mnyama huyo.
Hata hivyo baadhi ya wakazi waliokuwa wastaarabu waliendelea kufanya fujo hizo na hatimae walienda hadi kituo cha polisi cha Kizuiani kwa maandamdano na kuimba nyimbo 'tunamtaka simba wetu', wakijaribu huku wakijaribu kumchukua kwa nguvu simba huyo hivyo polisi walilazimika kumepelekea kusikojulikana
Wasiwasi mkubwa ulitanda kwa wakazi hao kuanzia majira ya asubuhi jana baada ya kuikia ngurumo ya Simba jike likilia kwa kutoa ngurumo la kuashiria alikwua maeneo hayo.
Wakazi hao walikumbwa na dhoruba hiyo na kufanya wakimbie huko na huko kunusuru maisha yao.
Ilifahamika kuwa kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Abdallah alimuona Simba huyo na kupishana naye majria ya alfajiri alipokuwa akienda kisimani kuchota maji huko maeneo ya mtaa wa Kimbangulile eneo mabalo liko karibu na mto Mzinga.
Kwa mujibu wa maelezo ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo Bw. Kessy zilisema kuwa awali baadhi ya watu walimuona Simba huyo lakini hawakuweza kuthitisha kutokana na giza lililokwua limetanda lakini kadri kulivyozidi kupambazuka ngurumo zake zilizidi kusikika na wakazi wa maenejno hayo kubaini kuwa walikuwa na mnyama huyo katika mtaa huo.
Hivyo kutokana na hilo kijana mmoja aliyetambulika wka jina la Nassoro Allly alianza kumfurumusha Simba huyo kwenye gofu la nyumba dambalo lilikuwa halijamalizika kiujenzi ambako alikuwa amejificha na hatimaye alimruki maeneo ya shingoni na kujeruhiwa vibaya na simba huyo.
Alisema baada ya kuhakikisha ukweli huo alipiga simu polisi kwa msaada zaidi ambapo askari watano wa Kituo cha Polisi Kizuiani walifika hapo majira saa 1:30 na kuanza kumsaka kwenye maficho yake na kumpiga risasi bila mafanikio kutokana na bunduki aina ya SMG kuonekana kutomudu kumuua mpaka zilipotumika silaha kubwa zaidi
Alsiema samba huyo aliweza kuuwa majira ya Saa 2 asubuhi na wananchi wa maeneio hayo kupiga shangwe kwa kufanikiwa kuuawa kwa sima huyo.
Hata hivyo NIFAHAMSIHE iliabarishwa na mpasahji habari aliyekwua eneo la tukio kuwa kioja kilitokea wka wakazi hao kuonekana kuanza kufanya fujo kugombania viungo kwa matumizi yao wanayoyafahamu huku wengine wakidai kutaka kuchukua nyama na vurugu ikatanda maeneo hayo hadi askari polisi walipowatawanya wananchi hao kwa kurusha risasi hewani na kukimbia ambapo awali walilizingiri gari la polisi lililobeba mnyama huyo.
Hata hivyo baadhi ya wakazi waliokuwa wastaarabu waliendelea kufanya fujo hizo na hatimae walienda hadi kituo cha polisi cha Kizuiani kwa maandamdano na kuimba nyimbo 'tunamtaka simba wetu', wakijaribu huku wakijaribu kumchukua kwa nguvu simba huyo hivyo polisi walilazimika kumepelekea kusikojulikana