Habari zilizovunjika ni kuwa kuna simba ametoroka katika zoo iliyoko maeneo ya namanga-tegeta dsm, wadau waambieni ndugu zenu wawe macho na ppredator huyu kwani inadaiwa ana njaa!
... ndugu zenu wawe macho na ppredator huyu kwani inadaiwa ana njaa!
Simba mwenye njaa..ni balaaa ila atauawaa....tuuu maana hana sehemu kujificha....
Tegeta kuna ZOO na ina wanyama na ndege wengi.Eneo lilipo kwa kweli ni hatari kwani ni kwenye plot na wamezungukwa na makazi ya watu pande zote. In