FRANK MICHAEL
Senior Member
- May 17, 2011
- 151
- 46
kumekuwa na malalamiko ya walimu wa shule mbali mbali walio zungumza kwa masharti ya kutotajwa kutohusishwa na zoezi la sensa, ikiwa ni adhabu ya kushiriki kwenye mgomo wa walimu, nini tfsiri ya vitendo hv?