DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Natumia. Samsung Galaxy Tab P1000 kwa muda sasa,mara nyingi na line ya airtel. Leo nilitoa line mara moja na kuweka si
mu chaji. Niliporudishia line ndo msala ukaanza. Ikaandika ENTER SIM NETWORK UNLOCK PIN. Nimejaribu kuweka line za mitandao tofauti,bado hali ni ileile. Nisaidieni nifanyaje wakubwa ! IMEI NO: 352961/04/763900/7. made in korea by samsung.
mu chaji. Niliporudishia line ndo msala ukaanza. Ikaandika ENTER SIM NETWORK UNLOCK PIN. Nimejaribu kuweka line za mitandao tofauti,bado hali ni ileile. Nisaidieni nifanyaje wakubwa ! IMEI NO: 352961/04/763900/7. made in korea by samsung.