Decapitator
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 311
- 79
Wadau kwa mtu yeyote ambaye anatumia iphone naomba anijuze kama tanzania kuna line ndogo za iphone, kwa sababu ambazo naona zote ni kubwa.
Je ukinunua iphone na line ndogo hizi unafanyaje?
Kwa huku niliko nimeambiwa zinakatwa.
je huduma hiyo ipo TZ?
Je ukinunua iphone na line ndogo hizi unafanyaje?
Kwa huku niliko nimeambiwa zinakatwa.
je huduma hiyo ipo TZ?