Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Hizi line za tigo toka Kenya zinafanyiwa kazi! Soon zote zitakuwa blocked!
nadhani wakiblock watakuja na njia nyingine, duh watu noma
Hizi line za tigo toka Kenya zinafanyiwa kazi! Soon zote zitakuwa blocked!
mbona kuna vita humu
SIM Card za Internet ya bure zinapatikana, bei ni 70,000/-,
Piga simu 0713 642 851 zipo nyingi tu!
me ninazo beiii cheeeee pm me
Acha ubishi mkuu.Hizi watu wanazitumia since last year!Woga wako ndio umaskini wako!jamani huyu jamaa ni tapeli anachofanya ni kununua bando la mwezi mmoja kwa gharama ndogo then anakuuzia kwa bei kubwa alafu mkwara wake anakwambia usiulize salio wala kutuma msg huo ni wizi mtupu ni njaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yake tu inamsumbuaaa
Mkuu sijaelewa hapo kwenye red....????