The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahaha!!! LolUnajua kuchimba story wewe
Duh
Hahaha!!! LolUnajua kuchimba story wewe
Duh
AD ni kweli
Na wafanyakazi wa ile sehem huwa wakituona wanatupeleka the same place maana wametuzoea sana
Ni moja ya mambo ambayo kama likienda kama ulivyotaraji hutosahau maishani mwako
Ndo maana nasema kwa mtu ambaye alikuwa anategemea jibu la YES na akajikuta mbele ya marafiki zake na ndugu zake anapokea NO as an answer hatokaa amsahau huyo mwenzake maisha yake yote na ni maumivu ambayo ni magumu kuyakubali
Hahaha!!! Hata wale ambao ni nadra kuona mlango wa kanisani unashangaa na wenyewe wamekuja siku hiyotulienda church na frnds zake wawili, ambao walikuwa wanajua kinachoendelea, mie nawatania leo kulikoni mpaka fulani unaenda church kweli miujiza, bfrnd akawa anatutania lazima niwabadilishe watu wangu wote wa karibu wamjue Mungu, kila jpili ntakuwa nawaamsha kwa nguvu zote...hahahahaa.....kwani msoc ulioandaliwa baada ya hapo niliuweza tena?
Na yeye atakuwa anasema kimoyomoyo "ole wako nikuvalishe pete halafu ukanizingue"siku ya kuvishwa kimoyo moyo nitakuwa nasema "ole wako univalishe lipete lako halafu ukanitese"
siku ya kuvishwa kimoyo moyo nitakuwa nasema "ole wako univalishe lipete lako halafu ukanitese"
safi sana mkuu ..
utakuwa hata umewafundisha wengine hapo..
uskute(mfanyakazi wa hapo) na mwingine alifanya kama we ulivyofanya..
hahahahhaha lol
Sorry ..
dahhhh hii mpya ..
safi sana ..
Kanisani hii sjawahi sikia ..
Alikufuata nje??
Dah!!! Rocky yaani hauniachi tuAD mbona kwa TF unagwaya humuulizi atupe story yake bana
Nina hamu sana kusikia oya kwake au matarajio yake
Nakuja ngoja niende kunawa usoahahahahahah lol
ngoja ni mmbane
Nakuja ngoja niongee na MODS wanashida na maji ya kunywaHaya zamu yako ...
tuambie uskwepe swali naomba hahahah lol..
na swali walijua..
unakuwa mpole na mdogo kama pilitoni.mmmmhhhh
em fikiria umeshika pumzi ndani kwa muda halafu
mtu anakwambia "NO"
nope....alinifuata frnd wake, yeye alikaa mpaka misa ikaisha ametoka amekuta nimeshalia mweuc nikawa mwekundu.....cjui ile lia ilikuwa ya furaha/mshtuko au kitu gani,ckuwazia kama angefanya kama alivyofanya, nilidhani napitisha nae muda tu kwanza nimetokea kwenye kuvunjwa vunjwa moyo ckutegemea kama ningepata faraja kwa muda mfupi baada ya kuvunjwa vunjwa.....
aliekataliwa pia na goti lake chini atupe experience yake
nitakuwa namrembulia wala hatopata hilo wazo.Na yeye atakuwa anasema kimoyomoyo "ole wako nikuvalishe pete halafu ukanizingue"
Dah!!! Rocky yaani hauniachi tu
Nakuja ngoja niende kunawa uso
Nakuja ngoja niongee na MODS wanashida na maji ya kunywa
Jamani labda alikuwa anaogopa utasema hapana ndo maana hakutoka..
duuhhh
Nway hizo feelings hizo ...ndo ngumu kuzi explain..
maana hata Best yangu alisema hata ile Gondola ingeanguaka
asingepata maumivu maana alikuwa hajielewi anafuraha au ana
huzuni ... na mi ndo nataka kuzielewa lakini kaniaambia ni ngumu
kuzisema ... "Ni subiri initokee"
ila ngependa kuzielewa kidincho..
duuh! Itabidi nizimie kama dakika 3 hivi niue soo.ye ankuuliza "Will you marry me"
we unajibu "Ole wako univishe lipete lako halafu ukanitese" ( kwa baahati mbaya tu upayuke lohhh)..