Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
sirinde yuko busy anamalizia nyumba yake pale tabata na daladala alizonunua pia ziko juu ya mawe so dogo anastress ile mbaya naomba mwacheni apumzike.
Mkuu hii habari ikoje mdau? Hebu funguka!
sirinde yuko busy anamalizia nyumba yake pale tabata na daladala alizonunua pia ziko juu ya mawe so dogo anastress ile mbaya naomba mwacheni apumzike.
Silinde ni kivuli cha chadema hapa tunduma..hana lolote la maana zaidi ya kuuza sura...dogo ***** sana katufanya wanatunduma mafala.!
Mkuu hii habari ikoje mdau? Hebu funguka!
Silinde ni kivuli cha chadema hapa tunduma..hana lolote la maana zaidi ya kuuza sura...dogo ***** sana katufanya wanatunduma mafala.!
Silinde tumemaliza nae chuo mwaka mmoja namjua vizur na mpaka kwake tbt nipajua,,, ndio mshkaj anamalizia nyumba yake ndo inamkeep busy kuwa dar mara nyingi na hata mdogo wake anaitwa T.... ameshamwambia sana bro utapoteza jimbo,,, tatizo ana biashara zinamtesa, plus wife ana watoto mapacha nao wanamchanganya si unajua watoto wakiumwa umwa na hata demu wake nae ajakomaa kiakili as walimaliza wote b com 2010 so kila jambo hadi silinde awepo alisolve na hii imesababisha ashindwe kufatilia mambo ya jimbo..
Ila msijali wadau wadau tunampush kamanda wetu wa m4c arudi jimbon kuleta maendeleo tusije tukapoteza jimbo kwa magamba uchaguz ujao
Ingekuwa kujengewa line/kuunganisha umeme toka Mby/Mbozi kuja Tunduma tungekuunga mkono kwamba kweli tunahitaji nguvu ya mbunge wetu. Sasa kukatika umeme nako tunamtaka Mbunge akafuatilie, kwani meneja wa Tanesco Kanda yenu amewajibu nini? Je mmewauliza Tanesco wamewaambia tatizo ni nini?
Kazi ya mbunge ni ipi nyie wanafiki hapo juu
100% wewe ni classmate wangu
Acheni Use....n...g....e....rema baridi mnaomshambulia aliyeleta mada hapa hata kama yeye sio customer care wa Tanesco hapaswi kuwajibu vibaya wapiga kura wake hao ndo wamempa madaraka anatakiwa aonyeshe some concern kwani Mnyika alivyokuwa busy kufuatilia matatizo ya Maji Ubungo yeye ni Dawasco?hata kama tunaipenda CDM hatupaswi kuwa vipofu kwa utumbo kama huu
Acheni unazi wa kijinga matatizo ya wananchi jimboni nani mwakilishi anapaswa kuyapeleka serikalini?
Hata mzamini wake mkuu bwana mbyela analalamika ile mbaya dogo zile daladala3 alizonunua bila ushauri zinamfanya mbaya na sasa ziko juu ya mawe pale tabata na dogo alikopa mkopo mkubwa sana nazani mshahara wake kwa sasa ni laki kazaa tu.
Silinde anatakiwa kupata ushauri na si kutukanywa maana doga alipopata ubunge alisema anakwenda kumfunika zitto lakini mpaka sasa silinde ni kati ya wabunge 10 bora kwa ubovu na ushamba.
ushauri ni kwamba dogo amalizie nyumba na atengeneze daladala ubunge asahau 2015.
Vijana wa chadema wanabweteka sana. Sie wapiga kura tumelalamika sana juu ya TANESCO hatusikilizwi tunamwambia mwakilishi wetu atusaidie kuwakilisha malalamiko yetu watu mna ongea pumba na kumtetea mbunge wkt ni jukumu lake kupigania haki za wapiga kura wake.
Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.
Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.
Sasa kama Silinde atafanya kazi za Badru, nani atafanya kazi zake?Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.