Silinde umeweka rehani jimbo

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
Wapiga kura wa Tunduma jimbo la Silinde tumekosa umeme siku 13 mfululizo tunampigia mbunge wetu anatujibu utumbo wapiga kura wake eti fuatilieni mambo yenu kwa vile umehamishia makazi Dar ndo utusahau wapiga kula? Chama tuna kipenda ila wewe 2015 ukigombea jimbo tunarudisha kwa magamba kwa kura za hasira.
 
Wewe unampigia Mbunge badala ya Tanesco??bora nenda Magamba unafikiri kwa Masaburi
 
Kazi ya mbunge ni ipi nyie wanafiki hapo juu
 
CHADEMA kazi imewashinda. wanajua umbea wa kukosoa tu utadhani wao no perfect. Uongozi siyo mchezo wa kuropoka kama u sanii na u JD. Baba paroko bwana Harusi babu na wa jukuu upo?? People poor or people power
 
Wee ****, hiyo siyo kazi ya mbunge kabisaa. Mbunge mngempa madiwani wengi hapo tungesema labda mnataka ailazimishe halmashauri inunue Jenerator. Otherwise, Shilinde anajitahidi sana yule mheshimiwa. Anahangaika sana kuwasaidia nyie watu wa mbozi
 
Acheni unazi wa kijinga matatizo ya wananchi jimboni nani mwakilishi anapaswa kuyapeleka serikalini?
 
Acheni unazi wa kijinga matatizo ya wananchi jimboni nani mwakilishi anapaswa kuyapeleka serikalini?

Ingekuwa kujengewa line/kuunganisha umeme toka Mby/Mbozi kuja Tunduma tungekuunga mkono kwamba kweli tunahitaji nguvu ya mbunge wetu. Sasa kukatika umeme nako tunamtaka Mbunge akafuatilie, kwani meneja wa Tanesco Kanda yenu amewajibu nini? Je mmewauliza Tanesco wamewaambia tatizo ni nini?
 
Ipo siku utampigia simu mbunge akupeleke msalani kwa vile umebanwa, maana ni wajibu wake. Akili yako haina akili shut up!
 
sirinde yuko busy anamalizia nyumba yake pale tabata na daladala alizonunua pia ziko juu ya mawe so dogo anastress ile mbaya naomba mwacheni apumzike.
 
Kazi ya mbunge ni ipi nyie wanafiki hapo juu

baeleze baelewe.
watu wengine wanafiki sana humu jf.
Angeandikwa mtu wa magamba kwa kosa hata dogo wangemsifu mleta mada. Sasa kaandikwa wa cdm povu linawatoooooka! eti mleta mada anafiri kwa kutumia masaburi.
 
Mimi huwa'ga' najiuliza sana kama watu humu wanajua kazi za mbunge ni zipi? No wonder rushwa kwenye chaguzi haziishi.
 
Ingekuwa kujengewa line/kuunganisha umeme toka Mby/Mbozi kuja Tunduma tungekuunga mkono kwamba kweli tunahitaji nguvu ya mbunge wetu. Sasa kukatika umeme nako tunamtaka Mbunge akafuatilie, kwani meneja wa Tanesco Kanda yenu amewajibu nini? Je mmewauliza Tanesco wamewaambia tatizo ni nini?

Mara kumi angempigia simu Mkuu wa Wilaya
 
Back
Top Bottom