Mkuu hakuna mtu anaruhusiwa kumilki silaha ya kivita kama vile SMG, LMG ama G3 or G5, nkKuna gazeti moja la leo lime report kuwa naibu waziri wa nishati na madini
ameibiwa vitu vya thamani ya tshs 23mill ila hawakumuibia bastola na SMG.....hivi jamani SMG si silaha ya kivita, je inaruhusiwa kumilikiwa na raia?
Kujadili hili ni kuweka wazi usalama wa viongozi. Binafsi sidhani kama ni sahihi sana tukaanika wanabeba nini.
Huenda manake sijasikia akisema alikuwa na SMG. Shortgun ruhusa kumilikishwa kwa watuLabda alikuwa na bastola pamoja na shortgun .
Huenda manake sijasikia akisema alikuwa na SMG. Shortgun ruhusa kumilikishwa kwa watu
Kujadili hili ni kuweka wazi usalama wa viongozi. Binafsi sidhani kama ni sahihi sana tukaanika wanabeba nini.
kuna gazeti moja la leo lime report kuwa naibu waziri wa nishati na madini
ameibiwa vitu vya thamani ya tshs 23mill ila hawakumuibia bastola na smg.....hivi jamani smg si silaha ya kivita, je inaruhusiwa kumilikiwa na raia?
Naamin mm(sina uhakika) Naibu waziri anapewa walinz, yy bastola na SMG/ AK 47 ya nn? sasa hii itafanya watu waanze kuhisi huyu jamaa ana kazi ingine tofauti na ya N/W. Manake kuna kauli aliitoa ya ajabu sana wakati anasikitika kuwa wamebeba pesa ,compt, sim pete na mabegi. akidai wamecha hizo silaha wakati ni MTAJI WA MAISHA, kana kwamba anawashangaa kuiba begi badala ya kuondoka na silaha.
Vile vile kauli yake inaonyesha kuwa yy anaamini kuwa huyo mwizi wake hajui thamani ya zile silaha na kazi zake (UJAMBAZI) akilinganisha na hivyo vitu alivyochukua.
"huu ni mtazamo wangu tu"