Sikweli kuwa Cuf/Z’bar wanalilia kambi ya Upinzani ya Chadema na Wtanganyika wenzake

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?
 
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?


Pamoja na kutojua uchungu wa kufeli ktk masomo, lkn pich ya hisia aliyeeli huwa kama ya huyu anayeabisha jina la............... http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1308.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1560.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1295.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1305.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1562.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1565.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1567.htm

Then no wonder ukiambiwa huyu ni wel experienced mathematics+Physics+Chemistry teacher aliyepata uzoefu kwa kufundisha skuli zote hizi-Shame on her!
 
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?

Bora wee uliochanganikiwa na matokeo kama haya kuliko wenzako waliojitundika, maana kwao harufu ya firdaus ni ndoto!
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1308.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1560.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1295.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1305.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1562.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1565.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1567.htm

No wonder ukiambiwa huyu ni wel experinced mathematics+Physics+Chemistry teacher aliyeupata kwa kufundisha skuli hizo hapo juu! Shame on her
 
abdulahsaf, Duuuh Kauli kali na ya kebehi sana hii kutoka kwa MZANZIBAR, Mwl Nyerere hakuwajua kama mpo hivyo ndio maana hakaamua tuungane kwa gharama yoyote akidhani anawasaidia kumbe.............................. Leo mna maneno ya nyodo na dhihaki kwa wema wa Mwl hadi kuamua kuua Tanganyika yetu ili awastili na dhahama ya kurudi mikononi mwa Sultan. Kumbukeni sisi wana wa nchi tupo macho na tunaona mikogo yenu siku yaja mtakapoiona Tanganyika imerudi ktk ramani ya ulimwengu na Dunia ndipo mtakumbuka kuwa kwenu tulikuwa kama mama kuku nanyi vifaranga, mkiona baridi tunawapa joto, kipanga/mwewe akija twawaficha, Tanganyika ikifufuka kumbuka ni sawa na mama kuku TANZANIA kuchinjwa hivyo vifaranga watabaki bila ulinzi hapo MWEWE/KIPANGA na hata KUNGURU watajipatia riziki bila kikwazo.
THREAD YAKO UIKUMBUSHIE WAKATI TUNAANDAA KATIBA YETU
Lakini ushiriki wako hapa JF unanipa shaka, kama kweli kauli yako ni ya wema au umetumwa?
Join Date : Tue Aug 2010
Posts : 19
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
bora wee uliochanganikiwa na matokeo kama haya kuliko wenzako waliojitundika, maana kwao harufu ya firdaus ni ndoto!
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1308.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1560.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1295.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1305.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1562.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1565.htm
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/csee2010/s1567.htm

no wonder ukiambiwa huyu ni wel experinced mathematics+physics+chemistry teacher aliyeupata kwa kufundisha skuli hizo hapo juu! Shame on her


angalia katika population ya wzanzibar millioni 1.2 wasomi ni wangapi? Na watanganyika million 44 wasomi ni wangapi? Watanganyika ni wingi wa nzii tu. Wengi wao vishwa maji. Wzanzibar ni kidogo lakini wengi wao wasomi. Wengi wa watanganyika ni vishwa maji na shizi umeona wapi dunia hii mtu mwenye akili yake kukata viungo vya binadamu mwenzake kwenda kuuza? Ama kweli vishwa maji ,makatili kweli.
 
Na wanawauwa vizee eti ni vichawi, he sisi tupo karne ya 21 kumbe watanganyika wako karne ya nane. Ujahilia. Hakuna kifaranga hapa nani kakwambia kua kabla ya muungano wazanzibari walikufa njaa? Sisi tulikuwa tunawaletea bukta maana hata kuvaa hamjui washamba na walimbukeni. Leo munajichubua, wanawake wanavaa chupi hadharani kinyume na utamaduni wa africa. Huu ni ushamba na ulimbukeni. Mumevamia vibaya mambo.
 
Hivi kwanini wananzibara huwa hawapati Div I ama II ? wachache III four za kumwaga na walio wengi hupiga Div zero!! Lol
 
angalia katika population ya wzanzibar millioni 1.2 wasomi ni wangapi? Na watanganyika million 44 wasomi ni wangapi? Watanganyika ni wingi wa nzii tu. Wengi wao vishwa maji. Wzanzibar ni kidogo lakini wengi wao wasomi. Wengi wa watanganyika ni vishwa maji na shizi umeona wapi dunia hii mtu mwenye akili yake kukata viungo vya binadamu mwenzake kwenda kuuza? Ama kweli vishwa maji ,makatili kweli.

Nina mashaka kama abdulahsaf ni Mzanzibari kweli, nahisi ni mtu wa nchi jirani( tazama kwenye red), anayetaka kuleta mgongano kati ya watanzania. Hiki kiswahili sio cha zanzibar, ila pia inawezekana kama aliambulia div 0 form iv, na sasa labda jambazi, inawezekana.

Kama kweli ni mzanzibar basi hatushangai kwanini matekeo ya F4 2010 ni division IV na 0 huko visiwani. Jibu analo yeye nani ni "kishwa" maji.
 
Huyu abdulahsaf hajui na hajui kuwa hajui, hivyo ni mpumbavu! Angalia kichwa cha habari yake na habari yenyewe havina uhusiano kabisa!!!!, sina uhakika kama si mwehu!
 
Huyu abdulahsaf hajui na hajui kuwa hajui, hivyo ni mpumbavu! Angalia kichwa cha habari yake na habari yenyewe havina uhusiano kabisa!!!!, sina uhakika kama si mwehu!
 
Hivi kwanini wananzibara huwa hawapati Div I ama II ? wachache III four za kumwaga na walio wengi hupiga Div zero!! Lol

Rev. Masanilo! Utarajie matokeo gani kama walimu wenyewe ni type ya huyu Abdulahsaf? Huyu jamaa anasahau hata heading na contents za post zake, watarajia amkumbushe mwanafunzi japo formula ya pythagoras? Certainly Record ya post za kipumbavu kabisa hapa jf nadhani imeshatwaliwa na huyu toka kwa ms
 
angalia katika population ya wzanzibar millioni 1.2 wasomi ni wangapi? Na watanganyika million 44 wasomi ni wangapi? Watanganyika ni wingi wa nzii tu. Wengi wao vishwa maji. Wzanzibar ni kidogo lakini wengi wao wasomi.
Ndivyo unavyojidanganya hivyo! Hujuwi kuwa kati ya hao wasomi 98% wameoriginate Tanganyika,hebu rudi tena kwenye source yako mkuu uone maajabu!
 
Na wanawauwa vizee eti ni vichawi, he sisi tupo karne ya 21 kumbe watanganyika wako karne ya nane. Ujahilia. Hakuna kifaranga hapa nani kakwambia kua kabla ya muungano wazanzibari walikufa njaa? Sisi tulikuwa tunawaletea bukta maana hata kuvaa hamjui washamba na walimbukeni. Leo munajichubua, wanawake wanavaa chupi hadharani kinyume na utamaduni wa africa. Huu ni ushamba na ulimbukeni. Mumevamia vibaya mambo.

Wazanzibar wanakelele kama za uke wenza ...sishngai ndio maana mwaka jana sharubu wameolewa rasmi ndoa ya kishoga.......sasa wanapalilia vipara vya ccm na wengine kupigwa vipara...si mnamuona maalim uso umekuwa laini na lotion ...furaha ya kuolewa hiyo...!!!

Nyie mnaongelea mauwaji ya albino ..hakuna nchi isiyokuwa na vioja lakini msisahau kwenye mapnduzi waarab na shotara wengi waliuwawa......na hata baadhi ya chotara leo ni matokeo ya mama zao kubakwa wakati wa mapinduzi........yote hayo wamesahau kuokolewa na nyerere walivyokuwa wanachinjana ....baada ya ndoa ambayo haata haijajibu!!!!
 
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?

JF hii ni lugha gani jamani.... hapo kwenye red au ndiyo akili za wazenji kama anavyosema abdulahsaf....
 
Nina mashaka kama abdulahsaf ni Mzanzibari kweli, nahisi ni mtu wa nchi jirani( tazama kwenye red), anayetaka kuleta mgongano kati ya watanzania. Hiki kiswahili sio cha zanzibar, ila pia inawezekana kama aliambulia div 0 form iv, na sasa labda jambazi, inawezekana.

Kama kweli ni mzanzibar basi hatushangai kwanini matekeo ya F4 2010 ni division IV na 0 huko visiwani. Jibu analo yeye nani ni "kishwa" maji.

Absolutely right mkubwa!!.. Huyo wala si mzenji!!! Wazenji kiswahili si tatizo... achaneni nae huyo mbumbumbu....
 
Haifai kujadiliwa hapa!! Pointless......

Nani anawataka Wazanzibar na kwa faida gani? Nilipokuwa Chuo kikuu cha Dar... tulikuwa wanafunzi 2500 na kati yao wazanzibar walikuwa 50. Nilichukua Masters nje ya nchi kulikuwa na Watanzania 300 kati yao mzanzibar 1 ambaye alilalamika mbele ya Mh.Mkapa ili wapewe upendeleo wa scholarships hata kama wanafeli ili waweze kuona mandhari za nje ya nchi.... ilikuwa 2005 ubalozi tulipokutana na Mkapa.

Je, hiyo ratio inaonesha ni upande upi unaelimu zaidi ya upande mwingine.
 
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?

Si mrudi kwenyu mkale popo Nundu balahau! Mmesha kuwa mwiba tena kama hamjui mnatukera kiukweli. Mnakomba hata uji wa mtoto, tg kubaya huku mnauza nyanya masalo Nk nk!

Mwenzio anapo kubeba usinyooshe miguu ikunje ili akubebe vizuri.
 
Kwani muungano ni wa nguvu au hiari? Hivi ilikuwepo refferandum au la? Huyu ana maoni yake binafsi labda siyo ya Wazanzibari wote. Katiba mpya itahusisha referendum ya muungano. Na mkataba wa muungano upitiwe na waTanganyika na wa Zanzibari.

Mkataba upo, hebu uwakeni hapa tuuchambue.
 
quote_icon.png
Originally Posted by Mtabe
Na wanawauwa vizee eti ni vichawi, he sisi tupo karne ya 21 kumbe watanganyika wako karne ya nane. Ujahilia. Hakuna kifaranga hapa nani kakwambia kua kabla ya muungano wazanzibari walikufa njaa? Sisi tulikuwa tunawaletea bukta maana hata kuvaa hamjui washamba na walimbukeni. Leo munajichubua, wanawake wanavaa chupi hadharani kinyume na utamaduni wa africa. Huu ni ushamba na ulimbukeni. Mumevamia vibaya mambo.
Wazanzibar wanakelele kama za uke wenza ...sishngai ndio maana mwaka jana sharubu wameolewa rasmi ndoa ya kishoga.......sasa wanapalilia vipara vya ccm na wengine kupigwa vipara...si mnamuona maalim uso umekuwa laini na lotion ...furaha ya kuolewa hiyo...!!!

Nyie mnaongelea mauwaji ya albino ..hakuna nchi isiyokuwa na vioja lakini msisahau kwenye mapnduzi waarab na shotara wengi waliuwawa......na hata baadhi ya chotara leo ni matokeo ya mama zao kubakwa wakati wa mapinduzi........yote hayo wamesahau kuokolewa na nyerere walivyokuwa wanachinjana ....baada ya ndoa ambayo haata haijajibu!!!!

Du kweli wazanzibar ndo mnafikia hatua ya kututukana hivi? au Adulasaf ni mzanzibar feki. Huku Bara tunao wapemba wengi wamejenga na kuoa kwa wingi je? na wao tuwafukuze? maana ikitokea fujo wanajiita watanzania, ikianza neema mm m-Unguja na wala sio m-Pemba hizi hadithi za PUNDA HAPANDI MASKAT mtaziacha lini?
Hao watu wamejazana Kigoma Kondoa Bagamoyo na sehemu zote walikopita waarabu na kuchuka watumwa kuwapeleka Arabuni (hawajiiti tena Waha, Warangi au wakwere) ila wao ni waarabu/wapemba iko siku Sultani atakuja kuwachukua au kuleata neema. Nilipofika Unguja niliyakuta maajabu Mji wote kimya na watu wamepumzika vijiweni wakidai One day yes yaani tofauti na Miji ya bara km Dar, Arusha, Moshi, Dodoma wanawake kwa watoto wanavyochacharika licha ya wanaume kila kona kubeba mizigo au kusukuma mikokoteni.
kama ni Muungano tuuvunje tu, na kisiwa chenu kisogezeni Oman au Bahrani tupumzike kwa amani
 
Jamani huyu aliyeleta hii topic si mzanzibari. Huyu ni muhindi wa ilala au kariakoo.
au ni mzanzibari mchina,mwarabu,muhindi au mngazija lakini anaishi huku Bara.
Kwanza hawa wanachuki sana na chadema! yaani uwaambii kitu na ccm na cuf yao.
Na jimbo la ilala litakuwa ni jimbo la mwisho kati ya majimbo yote Tanzania kukombolewa
na wapinzani toka chama tawala. maana hizo mbegu zimetapakaa ilala mzima kuanzia
Amana area hadi posta kuja upanga,na hadi kariakoo. kaaazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom