abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Pein poit ya Wzanzibar ni kuvunja Muungano na kuwashia Tanganyika yenu na Bunge lenu lililo jaa ufisadi na ujambazi, hii ndio taget yetu Wzanzibar na sisi tunaipenda Zanzibar yetu na tunaona ufahari kujita mimi mzanzibar, hii ni fahari kubwa kwetu. Wenzetu wa Tanganyika ni aibu kujita mimi mtanganyika shame kwao?