PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Watu wengi husema kuwa wanaume wengi hutamani wanawake kwa vile tu walivyo...So mahusiano mengi yanakuwa na wanaume ambao hawajielewi wanadhani wanapenda kumbe wanatamani tu! Na akishaacha kutamani uhusiano kwishney!
Wanawake kwa upande wa pili wanatamani maisha mazuri, pesa nk nk..otherwise wanapenda kweli.
Hii ndiyo sumu ambayo nimenyweshwa all this time.
Sijawahi kujua kwamba unaweza kuwa kwenye uhusiano na msichana na kakutamani tu!
Si hela, wala maisha mazuri, wala hakupendi ila tu kakutamani the way mwanaume anavyomtamani mwanamke
DAH! Something new to learn here!
and I'm like ----->>>:fear:
Wanawake kwa upande wa pili wanatamani maisha mazuri, pesa nk nk..otherwise wanapenda kweli.
Hii ndiyo sumu ambayo nimenyweshwa all this time.
Sijawahi kujua kwamba unaweza kuwa kwenye uhusiano na msichana na kakutamani tu!
Si hela, wala maisha mazuri, wala hakupendi ila tu kakutamani the way mwanaume anavyomtamani mwanamke
DAH! Something new to learn here!
and I'm like ----->>>:fear: