sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
Hello Wapendwa.
Kuna mahala fulani huwa ninasafiri kwenda mara kwa mara kufuatilia mambo ya kibiashara.Huko mahala ninaposafiri huwa kuna mama yangu mkubwa anaishi huko lakini siku zote huwa nashukia hotelini.Kila nikifika huwa nampigia simu mama mkubwa na pia najitahidi kwenda nyumbani kwake kumsalimia lakini mama mkubwa analalamika kuwa ni vizuri siku nikiwa huko japo siku moja moja nilale nyumbani kwake.
Mama yangu mkubwa nimuathirika wa UKIMWI,sio kwa kumuhisi bali kwa kit