Sikutegemea kama ingetokea siku na mimi nijihisi nimeambukizwa UKIMWI...

Hello Wapendwa.

Kuna mahala fulani huwa ninasafiri kwenda mara kwa mara kufuatilia mambo ya kibiashara.Huko mahala ninaposafiri huwa kuna mama yangu mkubwa anaishi huko lakini siku zote huwa nashukia hotelini.Kila nikifika huwa nampigia simu mama mkubwa na pia najitahidi kwenda nyumbani kwake kumsalimia lakini mama mkubwa analalamika kuwa ni vizuri siku nikiwa huko japo siku moja moja nilale nyumbani kwake.

Mama yangu mkubwa nimuathirika wa UKIMWI,sio kwa kumuhisi bali kwa kit
 
Kastori kazuri kwelikweli na kanafundisha sana. Ahsante kwa somo zuri na njia nzuri uliyotumia kuliwaslisha.
asante mkuu Baba Mkali.
Nafurahi kuwa umepata somo.
Tuko pamoja.

Douuh polesana queen mana halihyo huwa inasababisha wakati mgum sana, ambae hajapitia hawezijua,mimi imenitokea my wife anamdogowake anasomea ukunga skiumoja kaja na vipimo home wakapimana huko bila kuniambia kipimo chakwanza kikaonyesha anamaambukizi chapili kazalika chatatu vilevile ikabidi wakichukuwe kwa daktari akakitizama akmwambia anamaambukizi karudi huko kawaka moto kaniita chumbani analia namuliza nini akanijibu nimemuuwa na ukimwi ikabidi nicheke nikamuliza kulikoni akatoa vipimo akanionyesha nikamjibu mm simtalam siwezijua kuvisoma akajibu kapeleka kwa daktari nikamuliza wewe una toka nje ya ndoa kasema laa sasa itakuwa tumepataje mimi najiamini na sina sifanyi usherat na sijawahi kugua nawala sijawahi kuhudumia mtu kusema ntapata maambukizo kirahisi na ikabidi tukapime AMRF pale mganga akshangzwa na hali aliyonayo mwen zangu na aliomba tupime na mtoto akasema hawezi kumpima mtoto mwenye miezi7 mpaka aone vipimo vyetu ndipo alipouliza kulikoni nikamfahamisha ilivyotokea, mganga ilibidi achukuwe vipimo vitatu kupata uhakika badae ikaonekana hatuna maambukizi kuanzia hapo hatujaugua tena mpaka hiileo lakini kabla yake kilasiku kuumwa.

Mkuu NTINGINYA pole sana ndugu yangu.
Naona kwako wewe hali ilikua mbaya zaidi maana ukichanganya na hizo pressure za mtu anayekulilia kuwa umemuua hapo lazima dunia iwe chungu.
Namshukuru Mungu kwa ajili ya familia yako kuwa mko salama na vile vimagonjwa vinavyotukumba sababu ya hofu vimewaachia.
 
Last edited by a moderator:
Uko sahihi mkuu wangu Dr.kapama.
Kuna research fulani ilifanyika ikathibitisha kuwa uki u-tune ubongo wako kuamini kuwa siumwi basi unatuma kemikali zinazoboost kinga ya mwili na hata kama mtu unaumwa unaweza kupata nafuu a kupona and vice versa.
Kwenye hiyo research walichukua wagonjwa waliokuwa wakumwa ugonjwa wa aina moja,then wakawagawa katika makundi mawili.Halafu kundi A wakapewa dawa za kweli za kutibu ule ugonjwa na kundi B wakapewa sukari ilitengenezwa na kufanana kabisa na vile vidonge vya kweli.
Matokeao yake yalikuwa kwamba,wagonjwa wote wa kundi A na B walipona.
Kumbuka wale wa kundi B hawakupewa dawa bali sukari lakini kwa vile walishauamrisha ubongo kuwaza positively kwa kuamini kuwa nimekunywa dawa nitapona wakapona kweli.
Ndio maana mimi niliumwa vitu vya ajabu ajabu wakati ule nilipoulazimisha ubongo wangu kuwa ninaumwa na wenyewe ukanisuport katika hilo.

Kama ulikuwa unafahamu hizo research zilizofanyika, huo wasiwasi ulikuwa unatoka wapi; unafikiri wanaofanya research ni kwa ajili ya kufaulu tu, ili tupate kujifunza. Wewe hakuna ,ujumbe wowote uliokuwa unawakilisha zaidi ya KUMNYNANYAPAA mama yako, kwani hata maelezo yako hayaonyeshi kama kuna jitihada zozote ambazo unachukua katika kumpunguzia mama yako mateso aliyonayo zaidi ya kujigamba kwamba wewe sasa ni salama. LAANA HII ITAKUMALIZA NA UTAKUFA KABLA YA MAMA YAKO...........!!!!??
 
Kastori kazuri kwelikweli na kanafundisha sana. Ahsante kwa somo zuri na njia nzuri uliyotumia kuliwaslisha.

Kweli JF imevyamiwa, hivi great thinkers hawapo tena humu.....???, mtu anamnyanyapaa mama yake na anaonyesha kutokujali hali aliyonayo mama yake............!!!!???, halafu unasema stori nzuri........hivi anaweza kuwa na ujasiri wa kumweleza mama yake stori hii.........??? au huku kuficha ID ndio kunafanya kuvuka mipaka ya kufikiri....???

Hii stori inaweza kuwa kwako ni sawa kama na wewe ni mmoja kati ya wale wanaowanyanyapaa wanaoishi na virusi vya ukimwi; kwani aliyeleta huu uzi anataka jamii iwatenge wanaoishi na virus vya ukimwi. Kwani hata kwenda kulala kwa mama yake huyo, alienda tu basi na huku tayari akiwa na mtazamo mbaya sana. Ukiamini mtu kuwa ni mchawi basi utafikiri kila tendo atendalo anakuloga. NAKUSHAURI KUFANYA JAMBO LA UPENDO KWA MAMA YAKO, VINGINEVYO UTAKUFA KABLA YAKE......................!!!!!!!!!???, hii ni kutokana na uzoefu...........!!!
 
Kama ulikuwa unafahamu hizo research zilizofanyika, huo wasiwasi ulikuwa unatoka wapi; unafikiri wanaofanya research ni kwa ajili ya kufaulu tu, ili tupate kujifunza. Wewe hakuna ,ujumbe wowote uliokuwa unawakilisha zaidi ya KUMNYNANYAPAA mama yako, kwani hata maelezo yako hayaonyeshi kama kuna jitihada zozote ambazo unachukua katika kumpunguzia mama yako mateso aliyonayo zaidi ya kujigamba kwamba wewe sasa ni salama. LAANA HII ITAKUMALIZA NA UTAKUFA KABLA YA MAMA YAKO...........!!!!??
Mbona unamshambulia queenkami wapi kamkosea mama yake mkubwa? Point yake ilikuwa kuwa sio kila ukiguswa na mtu ana ugonjwa unapata ugonjwa, sidhani kama alikuwa hamheshimu mama yake asinge enda kulala kwake wakati anajua alikuwa mgonjwa.

Kwenda kulala kwa mama yake mkubwa ni moja ya heshima kubwa hakujali kama mama yake mkubwa anaugonjwa...Ugonjwa wa mama yake mkubwa haukumzuwia kuwa karibu naye, wengine wasinge hata kumsogelea....Mimi nampa Big up queenkami.
 
Mbona unamshambulia queenkami wapi kamkosea mama yake mkubwa? Point yake ilikuwa kuwa sio kila ukiguswa na mtu ana ugonjwa unapata ugonjwa, sidhani kama alikuwa hamheshimu mama yake asinge enda kulala kwake wakati anajua alikuwa mgonjwa.

Kwenda kulala kwa mama yake mkubwa ni moja ya heshima kubwa hakujali kama mama yake mkubwa anaugonjwa...Ugonjwa wa mama yake mkubwa haukumzuwia kuwa karibu naye, wengine wasinge hata kumsogelea....Mimi nampa Big up queenkami.

Tusiwe tunachangia mada kwa ushabiki; fuatilia maelezo yake ya awali, hakuenda kulala kwa mama yake kwa mapenzi bali kutokana na msukumo ambao mama yake alikuwa akitoa, kwani alikuwa anamlaumu kwani nini anashindwa kwenda kulala kwake japo siku moja;

"Kila nikifika huwa nampigia simu mama mkubwa na pia najitahidi kwenda nyumbani kwake kumsalimia lakini mama mkubwa analalamika kuwa ni vizuri siku nikiwa huko japo siku moja moja nilale nyumbani kwake."

Kutokana na kufahamu kwake kwamba mama yake ni muathirika ndio maana alikuwa hataki kwenda kulala kwake;

"Mama yangu mkubwa nimuathirika wa UKIMWI,sio kwa kumuhisi bali kwa kinywa chake alimweleza mama yangu,pia hataki kutumia hizi dawa za kurefusha maisha hivyo amekonda sana na ana mapele na vidonda na majipu vinamtokea kila mara."

Hata alipoamua kwenda kulala kwa mama yake, ilikuwa kwake ngumu kulala, alizuga kwa stori mpaka usiku mkubwa (HUU NI UNYANYAPAA);

"Siku moja nikiwa huko nikaamua kwenda kulala nyumbani kwa mama mkubwa wangu japo ana chumba kimoja,nilipofika nikakuta kidole chake kimoja cha mkononi kimeoza kwa kidonda chenye usaha,mwenyewe akanambia eti kuna mdudu akiingia kwenye kucha kidole ndo kinakua hivyo.

Tulikula kisha tukapiga story hadi usiku mwingi kisha sababu alikua ana magodoro mawili nikamwomba anitandikie godoro mim nilale chini."


Angalia lugha iliyotumika hapa; kwanza inakuwa ngumu sana kwa mtu mwenye akili timamu haya maelezo kuingia akilini:

"Wakati anatandika shuka kwenye hilo godoro kwa bahati mbaya kile kidole chake chenye kidonda kikanichoma mguuni hadi pakakatika hadi damu ikanitoka halafu ule usaha wake ukabakia juu ya hapo aliponikata na kucha yake."

Eti ukucha wa mguu wenye kidonda ukamchoma hadi kukatika......???? HOW........???

NAMUOMBA HUYU queenkami KWENDA KUTEKELEZA JAMBO LA UPENDO KWA MAMA YAKE, VINGINEVYO JINA LA queenkami, LITABADILIKA KARIBUNI na kuwa marehemukami. Hii ni kutokana na uzoefu....!!!???
 
Mbona unamshambulia queenkami wapi kamkosea mama yake mkubwa? Point yake ilikuwa kuwa sio kila ukiguswa na mtu ana ugonjwa unapata ugonjwa, sidhani kama alikuwa hamheshimu mama yake asinge enda kulala kwake wakati anajua alikuwa mgonjwa.

Kwenda kulala kwa mama yake mkubwa ni moja ya heshima kubwa hakujali kama mama yake mkubwa anaugonjwa...Ugonjwa wa mama yake mkubwa haukumzuwia kuwa karibu naye, wengine wasinge hata kumsogelea....Mimi nampa Big up queenkami.[/QUOTE]

Asante fazaa kwa kunipa big up.
Nakushauri piga kimya hakuna kinachoharibika mkuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona unamshambulia queenkami wapi kamkosea mama yake mkubwa? Point yake ilikuwa kuwa sio kila ukiguswa na mtu ana ugonjwa unapata ugonjwa, sidhani kama alikuwa hamheshimu mama yake asinge enda kulala kwake wakati anajua alikuwa mgonjwa.

Kwenda kulala kwa mama yake mkubwa ni moja ya heshima kubwa hakujali kama mama yake mkubwa anaugonjwa...Ugonjwa wa mama yake mkubwa haukumzuwia kuwa karibu naye, wengine wasinge hata kumsogelea....Mimi nampa Big up queenkami.[/QUOTE]

Asante fazaa kwa kunipa big up.
Nakushauri piga kimya hakuna kinachoharibika mkuu wangu.

Jifariji............!!!, Nimetoa maelekezo ya nini unapaswa kufanya, kutokana na uzoefu...!!!?? Kama unafikiri ulinusurika kutoambukizwa UKIMWI, basi laana hii haitakuacha kabisa na kumuacha mama yako akiendelea kupeta duniani....SOON AND VERY SOON....WATCH OUT....!!!???
 
Duh majaribu ni mengi sana hapa duniani na haya magonjwa haya....sijui yani itakuwaje?

sana tu mkuu Sizinga.
Ni kumuomba tu Mungu maana kama sio yeye hata mimi leo hii ningekua miongoni mwa waathirika lakini kaninusuru.
Mungu ni mwema sana.
 
Last edited by a moderator:
Pole,chochote ukitia hofu tu na ukisiliza watu wanavojaji bac vinazuka vya ziada na ugonjwa kuongezeka kwa kasi.
 
Pole sana queenkami, umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliwahi kupatwa na mkasa unaokaribia kufanana na wako na kiukweli aliponea tundu la sindano, wakati mwingine watu huwa wanaugua kwa makosa...ni bora wewe ulipata hata huo ujasiri wa kwenda kupima mwingine angeamua kubaki kama alivyo kwa kuhofia majibu atakayokutana nayo.....
 
Last edited by a moderator:
Wewe unataka kuwaaminisha watu hapa kwamba upo salama, ili mtu aje kukubandua bila kondomu. Lete vyeti basi............!!!???
 
Kwanza ulipima wapi..........???, hakuna hospital BONGO, kapime INDIA na utuletee vyeti.
 
Ninyi vinuka mkojo wa siku hizi, ukishaona unawanyanyasa wanaume kadhaa kwa kuwapanga foleni; mnakuwa na matusi ya rejareja sana. Juzi kuna mwenzio katukana wanaume wote wa TZ kwamba ni wachafu, wewe unawafanya waliojikuta wana virusi vya UKIMWI kwamba walitegemea kupatwa na hiyo hali, kutokana na kauli yako hii; "Sikutegemea kama ingetokea siku na mimi nijihisi nimeambukizwa UKIMWI" Kwa hiyo unafikiri waliojikuta na virusi vya UKIMWI walitegemea..........????
 
Kwa hiyo umekuja kujisifu kwamba wewe ni salama zaidi na kufanya unyanyapaa kwa mama yako, utakufa wewe na mama yako utamuacha........!!!

Jinsi ulivyowasilisha ujumbe wako ni dhahiri kwamba wewe unajiona ni bora kuliko wale walioadhirika, mbona JF siku hizi sio MA-GREAT THINKER, mtu anawasilisha upumbavu kama huu na wengine wakawa wana-support. Naomba utambue wewe unayejiita queenkami wanadamu kabla hajafa hajaumbika na uelewe kwamba kuna magonjwa yanayowatesa wanadamu zaidi ya hiyo hali ya UKIMWI ambayo wewe ndio unaona kwamba ni tishio na wakati kuna watu wanaishi miaka na miaka na maisha yanaenda, wewe uliumwa mafua tu na ukaanza kufa kihoro. Kamuulize SAJUKI, atakueleza kwamba kuna magonjwa yanatesa wanadamu zaidi ya hivyo ujuavyo. Nakusikitikia kwamba una hatari ya kupoteza maisha mapema zaidi kwani utakufa kwa ugonjwa wa KIHORO, yaani kitu kidogo tu kitakusumbua na hofu iliyotawala maisha yako ndio itakayokumaliza. Unahitaji kubadili mtazamo........!!!!???? else...............?????

Usifikiri kwamba umenisurika.......,,upo hatarini kuliko unavyofikiri. Kwanza napata wasiwasi kwamba wewe ni mwathirika na unakuja kujinadi hapa kwamba wewe ni HIV negative ili upate wa kumwambukiza. Halafu eti uneweka slogan ya "YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO", hivyi ndivyo Yesu anavyokutumia, kuja kuleta unyanyapaa na kujiona wewe ni bora na kuthamini zaidi uhai wako, siku ukikutana na Yesu muulize yeye aliwezaje kuutoa uhai wake kwa ajili ya wengine.

Hakuna anayepigana na wewe, bali kwa kuwa humfahamu adui yako uko hatarini sana; nakusikitikia kwani hujitambui.

"Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake; huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo yenu. Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. Nanyi mpingeni huyo, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kuwa mateso yale yale yanatimizwa kwa ndugu zenu walioko duniani" 1 Petro 5:5-8

Kumbuka:

"Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu. Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia. Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili. Huzunikeni na kuomboleza na kulia. Kucheka kwenu na kugeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa hamu. Jidhilini mbele za Bwana, naye atawakuza. Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu. Mtoa sheria na mwenye kuhukumu ni mmoja tu, ndiye awezaye kuokoa na kuangamiza. U nani wewe umhukumuye mtu mwingine? Haya basi, ninyi msemao, Leo au kesho tutaingia katika mji fulani na kukaa humo mwaka mzima, na kufanya biashara na kupata faida; walakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka. Yakobo 4:5-13

Usijifiche kwenye kivuli cha UKRISTO kumbe ni mtenda dhambi......, tena kahaba tu.....!!!, Anayeongozwa na ROHO WA KWELI WA MUNGU hawezi kuandika upuuzi kama huu.

Kwa hiyo wewe unafurahi jinsi mama yako anavyoteseka, kama ungekuwa mwanadamu ungefanya kila aina ya jitihada kumshawishi mama yako kutumia hizo dawa au ungeleta uzi wa kutuuliza nini kifanyike ili mama yako aweze kukubali kutumia hizo dawa, eti unaleta unafiki wa kusema kwamba unaumia kwa kuona mama yako anateseka. Unapaswa kufanya jambo kwa mama yako, ikiwa ni ishara ya kumwomba msamaha kwa jinsi ulivyokuja kumnyanyapaa hapa hata kama unafikiri yeye hawezi kufahamu, vinginevyo UTAKUFA KABLA YAKE.

Halafu ni kwanini wengine mnapenda kumdhalilisha Bwana Yesu......???? NAOMBA UONDOE HIYO SLOGANI YAKO, ETI "YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO", mpaka utakapokuwa tayari kutumiwa na Bwana YESU, kwa sasa unatumiwa na shetani.

MTAMBUZI ametambua, acha kujishaua hapa.........ninavyomfahamu MTAMBUZI hawezi ku-support huu upuuzi na ikiwa ana-support hili, itabidi aombe msamaha waathirika wote.

Kwanza mimi namshangaa kwa jinsi ambavyo anaelezea kuwa UKIMWI ndio hali hatarishi katika maisha ya mwanadamu, anasahau KISUKARI, magonjwa ya moyo na mengineo. Leo hii anahangaika na kuweka tahadhari ya kupata ukimwi anasahau kwamba kuna magonjwa yanayotokana ulaji mbovu. Unaogopa kufa............KANUMBA alikufa kwa UKIMWI?....mwisho wako unaweza kuwa wa mateso kuliko huyo mama yako.

Acha Unafiki....!!!, ungekuwa unafahamu haya usingeleta uzi huu wa kumnyanyapaa mama yako; inaonekana habari hizi za kupatikana kwa dawa kwako ni chukizo kwani ulitamani mama yako ateseke mpaka afe, ili iwe malipizo kwa hisia zako kwamba alitaka kukuambukiza UKIMWI. Mungu hawezi kuwa upande wako, maana yeye haambatani na watu wanaojikweza.

Neema ya MUNGU ndiyo inakufanya utapike haya:

"Kwa kawaida mimi ni mtu mwenye kinga imara,ni kwa miaka mingi sijawahi kuumwa kitu chochote zaidi ya mafua,tena hata mafua yenyewe sio mara kwa mara.Kama baada ya mwezi na nusu hivi tokea nilipokatwa na kucha nikapata mafua makali yaliyoambatana na homa kali na maumivu ya kichwa,nikaanza tena kukumbuka lile tukio,nikaanza kuhisi labda nimeshaathirika,wakati mwingine najipa moyo kuwa ni mafua ya kawaida maana hata kama kuathirika inaweza kuchukua hata miaka mingi bila kuona dalili."

Unasahau kwamba uzima ulionao hautokani na jitihada zao bali una uwezo wa MUngu aliyehai na unapaswa kumshukuru na kuendelea kujinyenyekeza chini ya mkono ulio hodari.

Kama ulikuwa unafahamu hizo research zilizofanyika, huo wasiwasi ulikuwa unatoka wapi; unafikiri wanaofanya research ni kwa ajili ya kufaulu tu, ili tupate kujifunza. Wewe hakuna ,ujumbe wowote uliokuwa unawakilisha zaidi ya KUMNYNANYAPAA mama yako, kwani hata maelezo yako hayaonyeshi kama kuna jitihada zozote ambazo unachukua katika kumpunguzia mama yako mateso aliyonayo zaidi ya kujigamba kwamba wewe sasa ni salama. LAANA HII ITAKUMALIZA NA UTAKUFA KABLA YA MAMA YAKO...........!!!!??

Kweli JF imevyamiwa, hivi great thinkers hawapo tena humu.....???, mtu anamnyanyapaa mama yake na anaonyesha kutokujali hali aliyonayo mama yake............!!!!???, halafu unasema stori nzuri........hivi anaweza kuwa na ujasiri wa kumweleza mama yake stori hii.........??? au huku kuficha ID ndio kunafanya kuvuka mipaka ya kufikiri....???

Hii stori inaweza kuwa kwako ni sawa kama na wewe ni mmoja kati ya wale wanaowanyanyapaa wanaoishi na virusi vya ukimwi; kwani aliyeleta huu uzi anataka jamii iwatenge wanaoishi na virus vya ukimwi. Kwani hata kwenda kulala kwa mama yake huyo, alienda tu basi na huku tayari akiwa na mtazamo mbaya sana. Ukiamini mtu kuwa ni mchawi basi utafikiri kila tendo atendalo anakuloga. NAKUSHAURI KUFANYA JAMBO LA UPENDO KWA MAMA YAKO, VINGINEVYO UTAKUFA KABLA YAKE......................!!!!!!!!!???, hii ni kutokana na uzoefu...........!!!

Jifariji............!!!, Nimetoa maelekezo ya nini unapaswa kufanya, kutokana na uzoefu...!!!?? Kama unafikiri ulinusurika kutoambukizwa UKIMWI, basi laana hii haitakuacha kabisa na kumuacha mama yako akiendelea kupeta duniani....SOON AND VERY SOON....WATCH OUT....!!!???

Kamanda HAKUNA wewe ni noma..........khaaa!.............hivi muda wa kuandika haya matakataka umeutoa wapi kiongozi .....................?Unatisha kuliko kirusi alichonusurika queenkami............kudadadekii wallah......kwani mtoto wa watu kakunyima nini...................mbona una hasira naye namna hii.....................au umemtongoza PM akakuchomolea nini maana hizi hasira si za kawaida......................
Heshima kwako mrembo queenkami........................maana ingekua mimi ndo namchokonoa mtu namna hii halafu asinijibu sijui ningejiona mjinga kiasi gani.....................queenkami kakudharau sana kwa kitendo chake cha kutokujibu micomenti yako.................umedharauliwa kwa kiwango cha hatari..................!
 
huu ni unyanyapaa na sitaunga mkono hata kama jamii yote itaunga mkono.........................!!!!!!!!!!?????????????????????????????
 
Pole sana queenkami, umenikumbusha rafiki yangu mmoja aliwahi kupatwa na mkasa unaokaribia kufanana na wako na kiukweli aliponea tundu la sindano, wakati mwingine watu huwa wanaugua kwa makosa...ni bora wewe ulipata hata huo ujasiri wa kwenda kupima mwingine angeamua kubaki kama alivyo kwa kuhofia majibu atakayokutana nayo.....

bibie upo.....................?......... sweetlady.

Pole queenkami...............hili dude linatisha asikwambie mtu.............unaweza kufa kwa presha.............!
Ila hongera kwa kupima................na kukuta uko fresh..............Sasa kuwa makini zaidi ukicheza kizembe zembe tu hadithi inabadilika...................................!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom