Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Asante Lizzy.
umeongea kama mama yangu alivyoongea,
nilijaribu sana kumshawishi kuwa ni bahati mbaya lakini haamini.
Aisee ni vigumu sana kuamini kama ni bahati mbaya.Maana angekuwa hakukusudia basi asingekuumiza kwa kiasi kikubwa,angalau angekukwangua juu juu tu kutokana na nguvu kutumika kidogo.Mimi nilishashuhudia mtu ameng'atwa **** mpaka damu kuchuruzika na mgonjwa wa HIV hivi hivi.Pole sana,Mungu amekuepusha!