Sikutegemea huyu mdada?

Mkuu ulifanya makosa sana kulazimisha upewe penzi, usirudie tena siku nyingine, mwanamke anashawishiwa na sio kumlazimisha... Pia shukuru mungu ulikataliwa maana umeepushwa na mengi huwezi jua labda alikuwa na maradhi kwa kuwa anakupenda hakutaka kukuambukiza sasa ww ungelazimisha ungeweza kujitafutia matatizo mengine... Mwanamke anapo sema HAPANA ana maanisha vi2 vingi sana.
 
Hapa nimejifunza kitu si kila mwanamke anapokukatailia basi ujue hakupendi kumbea anaweza kuwa anakuepusha na magonjwa!
Mkuu ulifanya makosa sana kulazimisha upewe penzi, usirudie tena siku nyingine, mwanamke anashawishiwa na sio kumlazimisha... Pia shukuru mungu ulikataliwa maana umeepushwa na mengi huwezi jua labda alikuwa na maradhi kwa kuwa anakupenda hakutaka kukuambukiza sasa ww ungelazimisha ungeweza kujitafutia matatizo mengine... Mwanamke anapo sema HAPANA ana maanisha vi2 vingi sana.
 
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.

unamatatizo wewe si bure
 
Duh we kweli kiboko siku tatu bila kuona ndani hujakua kabisa aaahhh au ulitaka tu kuzamisha hiyo nanihino bila hata kumpa romance kidogo? Unabembeleza mwenyewe anaingia line si kulazimisha wewe. Ila pole mie sijawahi ona mwanaume kama wewe unahitaji pongezi nyingi sana
 
Ulizani kila demu mserereko ehhh...
Wengine vigingi
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.
Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.
 
Wana JF kuna siku nikiwa naishi Mkoani Tanga sikuamini kilichonitokea kwani kulikuwa kuna dada mmoja nilisoma nae shule ya sekondari form five na six.Tulipotezana kwa muda na baadae kuja kukutana tena na kila mmoja alikuwa ameajiriwa na kazi yake basi tulianza mawasiliano ndipo siku moja akafunga Safari kutoka Dar hadi Tanga.Nilimpokea vizuri na kwenda nae hadi kwangu.Mimi nilikuwa ninachumba kimoja tu hivyo nae hakusita kuwa nami katika chumba hicho.
Kama mwanaume lijali nilijua wazi kuwa usiku lazima ni chakachue siku ya kwanza tulilala kitanda kimoja kila nikiomba mchezo alinitosa kabisa? Siku ya pili ilikuwa hivyo hivyo ila nilijaribu kulazimisha kilichotokea ni kuambulia kuishika tu kwa mbali.
Sikuweza kuamini na kila mtu na marafiri zangu walijua siku hiyo mimi nimechakachua lakini ukweli sikuchakachua na ilibidi nijifanye kuwa nilichakachua tu na kujipa imani kuwa nitachakachua. Na siku ya tatu nilimsindikiza na kumfanyaia shoping tayari kwa kwenda kwao Dar.


Je nilichokifanya kilikuwa sahihi au nilikosea ? hadi leo nikimpigia simu huwa anacheka tu.

Achana nae kabisa mpotezee hao wako wengi na ndio zao wanajaribu kutupimia wakati wenzao wanatumwagia,mpotezee kabisa kwanza nashangaa ulilalaje nae bila kukubaliana kuhusu Game mimi siwezi lazima akubali kugemuka na mimi ndio alale kama no gama basi angeenda kulala gest na kesho yake arudi kwao ,nimfanyie na shopping kwani yeye dada yangu acheni ulimbukeni we mwenyewe unakaa chumba kimoja halafu una jipa hasara bila hata malipo kiduchu ,kwangu no ulichemka brother;
 
achana nae kabisa mpotezee hao wako wengi na ndio zao wanajaribu kutupimia wakati wenzao wanatumwagia,mpotezee kabisa kwanza nashangaa ulilalaje nae bila kukubaliana kuhusu game mimi siwezi lazima akubali kugemuka na mimi ndio alale kama no gama basi angeenda kulala gest na kesho yake arudi kwao ,nimfanyie na shopping kwani yeye dada yangu acheni ulimbukeni we mwenyewe unakaa chumba kimoja halafu una jipa hasara bila hata malipo kiduchu ,kwangu no ulichemka brother;

nakubaliana na wewe in its totality
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom