Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
- Thread starter
- #21
Kaka hata ungekuwa wewe ungesemaje? na jamaa walikuwa eti wanamuita shem......sema ndio niliona niwe mvumilivu tu
dah! nakulaumu sana mwana...kitu unayo geto,sita kwa sita halafu inaondoka hujaichapa? aaaah...we sio mwana...ndo maana kingston unawaongopea umechapa..manake ungewapa ukweli wana wangekutenga!