CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
- Thread starter
- #41
"hivi sasa waweza kwenda waweza kwenda kwani ckuhitaji tena maishan mwangu uwe wangu ucwe wangu yote ni sawa"
"hivi sasa waweza kwenda waweza kwenda kwani ckuhitaji tena maishan mwangu uwe wangu ucwe wangu yote ni sawa"
Umeona eeeeh
Hapo chance ni yako tena wahi kabla ya Erotica hakujakupiga bao!
"nimesema ckutaki narudia tena ckutaki, nlikupa last chance" by jide pokea hyo
Mnatiana moyo eh?Unaweza toa pendo lako kwa furaha, kumbe moyoni umejijazia karaha.
Hutakiwi juta kwani katu hutojua, unaempenda yeye anakuzingua.
Niliwahi kumwimbia mpenzi wangu, sema unachotaka ni wimbo uliofatia.
Lakini penzi hakuna bali ni kutendwa.
NIMEAMUA KUWA KOMANDO BINTI MACHOZI!!!!
Pole bibie punguza hasira yote ni mipango ya Mola! Tulia utampata mwingine humu humu mwenye mapenzi ya kweli.jamani ctaki maswali kuhusiana na hilî. . . nimeamua mwenyewe nikiwa na akili timamu. . . na ctak kuwa na mtu yeyote tena!
Mnatiana moyo eh?
mm na BADILI TABIA hatuzuliani Erickb52. wacha kumtisha papito.
Nimemkuta analia, kajilaza....sababu amechoka.
Mengi amevumilia, yalomkwaza....anataka kuondoka.
Ana siku ya pili sasa
hajarudi nyumbani kulala
namwonea huruma sana
haya mapenzi hayana maana!
Karibu chama la bachala, ukinipenda twamaliza leo leo tu.
Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana ishakuwa poa poa tu.
Hakunaga mapenzi yale
ya kugandana ni zama za kale
money on the table nawe
kinachofata ni mimi na wewe....na wewe!
Who's the single girl..
Who's the single girl...(I am a single girl)
Who's the single girl...(Ni nani single girl)
Who's the single girl....(I am a single girl)
Mnatiana moyo eh?
Unamwimbia nani?