Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
me msafi km theluj et
wala usikonde wanaume watulivu wamejaa utampata mwingine.
me msafi km theluj et
Long over due maamuzi,hongera sana,yaani ujue siku zote naugulia nikiona vile huyu bwana anakutenda,gest zote za kinondoni kazimaliza,ipi wasiyomjua?
Lakini na wewe umejiangalia kwenye kioo,uko safi kiasi gani?
Judgement.....come this way pliz.
wala usikonde wanaume watulivu wamejaa utampata mwingine.
nenda kituoni utamkuta afande asprin kaandikishe stetimenti yako ya kujikosha.Mkubwa Byshenger acha basi kunipakazia banaa!
Mi sihusiki kwa njia yyt na couple hii inayoelekea kuchinjiwa baharini.
Umenifanya hata leo mjengoni nimeshindwa kuchangia vizuri budget ya Mgimwa.
wala usikonde wanaume watulivu wamejaa utampata mwingine.
Bishanga khaa! hujakoma tu ulivosutwa haaahaha!Long over due maamuzi,hongera sana,yaani ujue siku zote naugulia nikiona vile huyu bwana anakutenda,gest zote za kinondoni kazimaliza,ipi wasiyomjua?
Lakini na wewe umejiangalia kwenye kioo,uko safi kiasi gani?
Judgement.....come this way pliz.
Pole wa kwetu ila mi nilijua tu! Kwanza nilikushangaa kidogo ulikuwa unamatch nae vipi mtu mvivu kuoga?
Hii ni kwa sababu ambazo alizitoa chumbani zisizo na msingi! kumbe amenisaliti na ....... watajitaja..... SITAKI TENA NAKWENDA KUSOMEA USISTAAAAAAA
NB: SITAKI USUMBUFU WA AINA YOYOTE KUANZIA SASA KUTOKA KWA YEYOTE!!!!!!!!!!!
we tema bigjii kwa karanga za kuonja
tena unatangaza hadharani magubegube wapo kwa ajili ya kutibu maradhi ya mumeo so ukilia nitakusaidia ktambaa tu cha kufutia machoz
Mbona kama unamuogopa? mpe live bila chenga. mwambie kabisa sasa hivi upo na kijana wako figganigga. Mia
Atajikakamua awe walau kama sisi wakongwe
weeeee tena ishia hapo hapo! sihitaji, sitaki na wala cna mpango wa kuwa na the so called mwanaume kamwe!
weeeee tena ishia hapo hapo! sihitaji, sitaki na wala cna mpango wa kuwa na the so called mwanaume kamwe!
Charmy!
Hembu turudi na nyuma kidogo, wajua mi sijaufatilia huu uzi comments after comments, nauliza umeshaanika hapa a particular reasons which may lead you to announce this matter ?