Unstoppable
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,046
- 384
Walitupa karata ya udini sasa imewageukia, damu ya mtu haimwagiki bure lazima ije kula kwao, mkwere, makamba & co tunawasubiria ni swala la mda tuu you are going down, you have no place to go except down
Mmh! Naona kipindi hiki kwa CCM kila kitu kina waka moto inabidi tu wajikokote waanze kusaidia kuondoa kero kwa wananchi sasa. Walijisahau saana wakaendekeza "politiki" sasa hamna ujanja tena, watu wameshawashtukia. No way out!