klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
alrite sasa nimekupata, nilidhani hiyo "sikupanga kuwa na mtoto" ni formal quote kumbe unaongelea quote za mitaani sio? poa.Kloro bana....
Yani kabisa hujawahi kusikia mtu akisema "ahh sikupanga kua na mtoto mie...ilikua bahati mbaya tu" ...?!Wapo sana na wengine hua hata wanasema mbele ya hao watoto!
My view:
Kama mtu amefika mpaka kupata mtoto na akawa still anaiendeleza hiyo quote basi kwangu mimi namuona kama yeye ndio mama/baba ambae hakupangwa na wala sio mtoto ambae hakupangwa.
Nimemaliza!
offu topik: ushabadilisha msimamo wako wa kwamba hutoi starehe mpaka utake mtoto?