Kaka Sam
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 540
- 78
Si jukwaa la kuchorana...mbona unasema mara una tafuta mchumba mara una mr. na mtoto...Tukueleweje dada....
Kama uliyoyaandika ni kweli basi wastahili adhabu kama hiyo...hakuna jambo mabaya kama kudanganya watu wenye akili.
:coffee: