Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Habari zenu wana Jf
Leo nataka kushea pamoja na nyinyi mkasa flani ambao uliwahi kunitokea katika maisha yangu'
Nikiwa nimetimiza miaka 26 miaka ya nyumba niliamua kuowa,kwa kweli mimi na mke wangu tulikuwa na maisha ya kawaida tu,tulikuwa tunaishi kwa furaha tu hapakuwa na tatizo kubwa bali ya kawaida tu,
Baada ya miaka 2 katika ndoa tulipata mtoto wa kiume,
Toka hapo tulipopata mtoto wetu hapo ndio nikaanza kuona mabadiliko ya wife,alikuwa busy sana muda mwingi kuchat na kutuma sms sikujua anatuma sms kwa nani lakini sana alikuwa busy,ikabidi nimuulize akanijibu vizuri tu kama hakuna kibaya anachofanya katika simu nikapotezea,
Kadri siku zilivyokwenda ndio alizidi kuwa busy na simu mpaka siku 1 nikamwambia nina wasiwasi na matumizi yako ya simu sio mazuri,tulibishana sana ila mwisho nikamwambia nitakuthibitishia siku 1 niyasemayo,
Basi siku 1 aliweka simu yake chaji chumbani na mimi nilikuwa nimelala,basi alipotoka nikatazama simu nikapekua sms zilikuwa zimefutwa hakuna sms yyte,nikatazama simu gani zinaingia sana kwake,nikaona majina mawili moja limeandikwa Mjomba na jingine Kaka.......sitamtaja jina hapa,basi nilichofanya pale nikazifuta zile namba zote halafu nikajaza namba zangu 2 ambazo nilikuwa sana situmii laini zake hata wife alikuwa hazijui,siku hiyo usiku nilikuwa nimekwenda kazini nikaamua nimcheki nikaweka line 1 ile niliyoandika mjomba nikambeep,dakika 3 ikaja sms vipi mpenzi jana nimekuja mpaka kwenu sijakukuta ulikuwa wapi? Haa nikasema hapa mwizi wangu nishamkata basi nikamjibu nikamwambia nlikuwa town lini tena utakuja?akaniambia J2 ntapata muda maana mume wangu ataingia kazini mchana'huwezi kuamini nilichat na wife kama muda wa masaa 2 hivi kiasi msg 30 hivi bia yeye kujua kama ni mimi,nilijua mambo mengi sana nilijua kiasi gani alikuwa ananicheat nilijua jinsi gani huwa ananiaga kwa kweli siku hiyo moyo wangu ulikuwa na ganzi ya ajabu,ila usiku huo huo nikafanya mpaka akajua kama alikuwa anachat na mimi,ukweli kuwa asbh nliporudi home sijamkuta wife alikuwa kisharudi kwao,hakutaka hata maongezi na mimi,baada ya hapo tuliachana na kila mtu alishika njia yake,hili jambo huwa nikilikumbuka nahisi mapigo ya moyo yanakwenda speed sana'
Ila kidume wangu nilichukua,
Pls msijaribu kuwafanyia hivi wake zenu kama bado mnawapenda,,,
Leo nataka kushea pamoja na nyinyi mkasa flani ambao uliwahi kunitokea katika maisha yangu'
Nikiwa nimetimiza miaka 26 miaka ya nyumba niliamua kuowa,kwa kweli mimi na mke wangu tulikuwa na maisha ya kawaida tu,tulikuwa tunaishi kwa furaha tu hapakuwa na tatizo kubwa bali ya kawaida tu,
Baada ya miaka 2 katika ndoa tulipata mtoto wa kiume,
Toka hapo tulipopata mtoto wetu hapo ndio nikaanza kuona mabadiliko ya wife,alikuwa busy sana muda mwingi kuchat na kutuma sms sikujua anatuma sms kwa nani lakini sana alikuwa busy,ikabidi nimuulize akanijibu vizuri tu kama hakuna kibaya anachofanya katika simu nikapotezea,
Kadri siku zilivyokwenda ndio alizidi kuwa busy na simu mpaka siku 1 nikamwambia nina wasiwasi na matumizi yako ya simu sio mazuri,tulibishana sana ila mwisho nikamwambia nitakuthibitishia siku 1 niyasemayo,
Basi siku 1 aliweka simu yake chaji chumbani na mimi nilikuwa nimelala,basi alipotoka nikatazama simu nikapekua sms zilikuwa zimefutwa hakuna sms yyte,nikatazama simu gani zinaingia sana kwake,nikaona majina mawili moja limeandikwa Mjomba na jingine Kaka.......sitamtaja jina hapa,basi nilichofanya pale nikazifuta zile namba zote halafu nikajaza namba zangu 2 ambazo nilikuwa sana situmii laini zake hata wife alikuwa hazijui,siku hiyo usiku nilikuwa nimekwenda kazini nikaamua nimcheki nikaweka line 1 ile niliyoandika mjomba nikambeep,dakika 3 ikaja sms vipi mpenzi jana nimekuja mpaka kwenu sijakukuta ulikuwa wapi? Haa nikasema hapa mwizi wangu nishamkata basi nikamjibu nikamwambia nlikuwa town lini tena utakuja?akaniambia J2 ntapata muda maana mume wangu ataingia kazini mchana'huwezi kuamini nilichat na wife kama muda wa masaa 2 hivi kiasi msg 30 hivi bia yeye kujua kama ni mimi,nilijua mambo mengi sana nilijua kiasi gani alikuwa ananicheat nilijua jinsi gani huwa ananiaga kwa kweli siku hiyo moyo wangu ulikuwa na ganzi ya ajabu,ila usiku huo huo nikafanya mpaka akajua kama alikuwa anachat na mimi,ukweli kuwa asbh nliporudi home sijamkuta wife alikuwa kisharudi kwao,hakutaka hata maongezi na mimi,baada ya hapo tuliachana na kila mtu alishika njia yake,hili jambo huwa nikilikumbuka nahisi mapigo ya moyo yanakwenda speed sana'
Ila kidume wangu nilichukua,
Pls msijaribu kuwafanyia hivi wake zenu kama bado mnawapenda,,,