Sikukuu ya wana-jf

Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi ambaye atakuwa amechangia kuliko wachangiaji wengine wote. Hili ni wazo langu. Wenzangu nanyi mwasemaje??????

vigezo vya kumpata mshindi?
 
Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi ambaye atakuwa amechangia kuliko wachangiaji wengine wote. Hili ni wazo langu. Wenzangu nanyi mwasemaje??????
hapo lazima msekwa atume watu wake na mkulu naye lazima atume wale vijana wake wa pale Makumbusho na St Peters ,shauri yenu
 
unadhani wakitaka kukukamata wanashindwa?

Hapa issue siyo kukamatwa. Watukamate tumefanya kosa gani? mimi ninachohofu ni uwezekano wa siku hiyo kukutana na bosi wangu na mdogo wangu wa kike ambaye anapenda sana kuisifia sana jf nadhani ni member humu ila sijui anatumia jina gani. Ni mwana ccm sana na huenda huwa ananiponda kwenye baadhi ya mada zangu za kutetea walala hoi, imagine siku nikijua!
 
Back
Top Bottom