Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi ambaye atakuwa amechangia kuliko wachangiaji wengine wote. Hili ni wazo langu. Wenzangu nanyi mwasemaje??????
vigezo vya kumpata mshindi?