Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Akihojiwa na ch.10 jana usiku dr.slaa aliulizwa na kujibu kwa ufasaha mambo mengi sana mpaka mwongozaji(makwaiya) akamsifia sana na kumuuliza iwapo yeye(dr.slaa) anafanya sana utafiti kwa jinsi alivyo makini ktk kujibu kwa ufasaha maswali ya mtego.
Ninapotaka kutofautiana na Mh.Dr.Slaa ni pale alioulizwa kwa pamoja kuhusu chadema kuwa chama cha kikanda/ukabila/udini......kuhusu udini dr.slaaa alieleza sana lakini ktk hitimisho alisema "chadema wameona Waislamu wanamadai mengi ambayo wameyakosa kutokana na historia hivyo chadema watajitahidi kuyatatua...."Sio siri mimi ni chadema piwa na mtu ninayemkubali sana dr. wa ukweli lakini kauli hii ilinikera sana kwa sababu kwa kauli hiyo chadema watataka kuijiingiza ktk matatizo ya kidini km ccm na cuf wanavyowadanganya waislamu kuyatatua matatizo yao ya kidini badala ya kuwaachia waislamu wenyewe na dini yao
-chadema wajue ni chama cha watz wote kwani wametetea maslahi ya watz wote kwa vitendo na tusingependa kuenda nje ya maslahi hayo muhimu na hii imekijengea chama hadhi hii iliyopo sasa
-wawaachie ccm na ccm-b kuhusu mambo ya dini kuhusu kuwatetea watu wa dini fulani,sisi tunataka tuone namna gani mtalikomboa taifa hili kutoka ktk lindi la umasikini uliokithiri na wa kujitakia
-chadema wametaja list of shame bila kujali uislamu/ukristo na katika list zote wakristo ndio wanatajwa zaidi km cdm ingekuwa na udini kamwe isingethubutu kuwataja ndugu zao
OMBI: epukeni propaganda za ccm na mafisadi na maswali na mtego ambayo yatakuwazimisha mjibu ili kufurahisha kikundi/vikundi fulani kwani mtaharibu taswira ya chama mbele ya jamii.
Ninapotaka kutofautiana na Mh.Dr.Slaa ni pale alioulizwa kwa pamoja kuhusu chadema kuwa chama cha kikanda/ukabila/udini......kuhusu udini dr.slaaa alieleza sana lakini ktk hitimisho alisema "chadema wameona Waislamu wanamadai mengi ambayo wameyakosa kutokana na historia hivyo chadema watajitahidi kuyatatua...."Sio siri mimi ni chadema piwa na mtu ninayemkubali sana dr. wa ukweli lakini kauli hii ilinikera sana kwa sababu kwa kauli hiyo chadema watataka kuijiingiza ktk matatizo ya kidini km ccm na cuf wanavyowadanganya waislamu kuyatatua matatizo yao ya kidini badala ya kuwaachia waislamu wenyewe na dini yao
-chadema wajue ni chama cha watz wote kwani wametetea maslahi ya watz wote kwa vitendo na tusingependa kuenda nje ya maslahi hayo muhimu na hii imekijengea chama hadhi hii iliyopo sasa
-wawaachie ccm na ccm-b kuhusu mambo ya dini kuhusu kuwatetea watu wa dini fulani,sisi tunataka tuone namna gani mtalikomboa taifa hili kutoka ktk lindi la umasikini uliokithiri na wa kujitakia
-chadema wametaja list of shame bila kujali uislamu/ukristo na katika list zote wakristo ndio wanatajwa zaidi km cdm ingekuwa na udini kamwe isingethubutu kuwataja ndugu zao
OMBI: epukeni propaganda za ccm na mafisadi na maswali na mtego ambayo yatakuwazimisha mjibu ili kufurahisha kikundi/vikundi fulani kwani mtaharibu taswira ya chama mbele ya jamii.