Anna Jordan
New Member
- Apr 2, 2012
- 1
- 0
Tumeshuhudia ktk uchaguzi mdogo Arumeru jinsi nguvu ya umma ilivyofanya kazi kupata mbunge stahiki. Watanzania yabidi tujifunze kutoka jimbo la Arumeru mashariki kwamba hakuna kinachoshindikana pawapo na nguvu ya umma. kwajinsi hii, mabadiliko yatapatikana,