Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Usaliti hautokani na majina wala kubembelezana, unatokana na watu bila kujali wanawaita na kuwatreat vipi wenzi wao.
Wewe mwenzio unamuitaje?
Usaliti hautokani na majina wala kubembelezana, unatokana na watu bila kujali wanawaita na kuwatreat vipi wenzi wao.
Wewe mwenzio unamuitaje?
Hapendi niwaambie watu!Heheheheheheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Na yeye anakuitaje?
Ah tumeshazowea kuitwa hivyo na tunalizwa na hao hao wanaotuita hayo majina mwishoni tunakua manunda sie pia tunawaumiza...
Ha ha tukiitana Monkey huenda yakadumu.
Ha ha tukiitana Monkey huenda yakadumu.
Usitutishe, kama wewe yamekufika ni yako na hai-hu~~~~~~~!!!!
Sio Kweli!!! Labda kwako tu Mkuu hii theory in apply lakini si kwa jamii yote. Pole kwa yaliyokukuta