Ndo siku zinayoyoma na ile siku inakaribia.
Swali kwa serikali.
Je ni kina nani wamesharudisha pesa za EPA?
Je ni kina nani hawajarudisha?
Je ni kiasi gani kimerudishwa na kilichobaki ni kiasi gani?
Au ndio tumepozwa kama watoto wadogo wanaolia nakupewa pipi na wazazi ili tunyamaze?
Swali kwa serikali.
Je ni kina nani wamesharudisha pesa za EPA?
Je ni kina nani hawajarudisha?
Je ni kiasi gani kimerudishwa na kilichobaki ni kiasi gani?
Au ndio tumepozwa kama watoto wadogo wanaolia nakupewa pipi na wazazi ili tunyamaze?