Invoice
Member
- Mar 19, 2012
- 70
- 63
WanaJF habarini za mida,
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2012 na matokeo yangu yako hivi; CHEMISTRY-E,BIOLOGY-E,GEOGRAPHY-E na B/MATH-S.
Kutokana na hizo maksi nilizopata hapo juu ni kozi gani nzuri na chuo husika ninachoweza kujiunga?
Ingawa binafsi nilipendelea kozi ya BS OF SCIENCE WITH GEOLOGY, lakini wanajf mnaweza kunipa mitazamo yenu kama mdogo wenu. Maana sina uwelewa mzuri wa vyuo vyetu.
Msaada tafadhali ikiwezekana kesho nianze usajili...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2012 na matokeo yangu yako hivi; CHEMISTRY-E,BIOLOGY-E,GEOGRAPHY-E na B/MATH-S.
Kutokana na hizo maksi nilizopata hapo juu ni kozi gani nzuri na chuo husika ninachoweza kujiunga?
Ingawa binafsi nilipendelea kozi ya BS OF SCIENCE WITH GEOLOGY, lakini wanajf mnaweza kunipa mitazamo yenu kama mdogo wenu. Maana sina uwelewa mzuri wa vyuo vyetu.
Msaada tafadhali ikiwezekana kesho nianze usajili...