Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 346
Kikwete na Lowassa ni maswahiba daima, hivyo Nape kwa kupambana na mafisadi hasa hao 'mapacha watatu' (Lowassa, Rostam, Chenge) ni kama kupambana na maswahiba wa Mwenyekiti wake wa CCM.
Ni kama vile anatangulizwa kwa baiskeli ya mbao ili imwangushe njiani, wenzake wampite.
Achunge sana, Edo atakuwa anampimia tu...
Ni kama vile anatangulizwa kwa baiskeli ya mbao ili imwangushe njiani, wenzake wampite.
Achunge sana, Edo atakuwa anampimia tu...