Siku za mwizi 20 check hii

yani hapo ni kwamba mungu kawaonyesha jinsi gani wanavyopendana na jinsi gani mungu kaukubali uhusiano wao,kwahiyo they have to sit down nawapange mipango ya ndoa.
 
Siku za mwizi kweli.. ndugu yetu naye kalala nyumbani kwake na mkewe, ghafla mwanamke kashtuka usingizini na kumwamsha akisema 'amka mume wangu ndo huyo anabisha mlangoni' ...masikini mume mtu huyoo, dirishani akakimbilia nje...baadaye anashtuka mmh..hapa si kwangu hivi nnachokimbia nini...kisa hiki utasemaje sasa... nani mwenye mziki sasa:rain:
 
Jamaa ana mpenziwe wamependa kiukweli wanavodai wao nakuelezana hivyo kiasi kwamba,password za bank card,e-mail wamepeana.Wameahidiana hawatakuja kusalitiana milele.

Wote hawa wana ujuzi kutumia mitandao ya kijamii kama huu.Wote wapo kwenye mtandao fulani na siku ya siku wakajikuta wanachati kwenye thread na mara Ku PM each other wakitumia majina yao ya bandia.Na kila mmoja asijue anachat na nani hasa.Ikafika point wakakubaliana kuwa wapenzi kwani walikua wanaambiana hawana wapenzi wengine.

Mambo yakaendelea hivi kule home wakirudi kila mtu akijifanya mtakatifu kwa mwenzie na kuonyeshana mapenzi motomoto wala hathubutu kutaja mchumba mpya wa kwenye mtandao.

Basi huko mtandaoni wakati wakichat wakakubaliana kwamba imefika muda sasa wakutane na kufahamiana zaidi.Mwanaume kampa location mwanamke kwamba akae hapo taxi itakuja kumchukua na kumpeleka hotel na chumba alipo.Siku haikukawia ikafika dada kachukuliwa kama ilivyo pangwa kupelekwa huko kwa mpenzi.Gari imefika Hotelini dada kapelekwa kaonyeshwa chumba,kagonga mlango,mlango ukafunguliwa......................guess what happened!!!!!alafu uniambie hii kesi itapelekwa mahakama gani?

what happened!! walifunga ndoa.wakala tunda palepale.
 
sas hapa we unadhani utafanya nin! unamkaribishatu ndani na mnaendelea na mengine ambayo mlikua mmepanga kuyafanya.
 
Kama msichana ntasema nilijua tu toka mwanzo unanisaliti mpenzi wangu ndo maana nimekuja mpaka hapa kukukamata namgeuzia zali jamaa:wink2::wink2::wink2::wink2:

Maria Roza, mpenzi, huwezi amini mshituko utakaoupata hata maneno ya kuongea yatakuishia, labda kama umeshapitia haya mambo mara kwa mara, umeshawahi kuona m-baba/-m-mama aliyefumaniwa na mtu aliyemzidi umri hata kama ana miaka 18. Hugopa hiyo kitu. Na kama kweli nikifanikiwa kupata hizo nguvu naunga mkono hoja yako.
 
Sasa tatizo unasahau kuwa ameolewa kwa hiyo meeting isipokuwa chumbani anaweza kuonekana na kuzua maswali- kumbuka Chumbani kuna privacy ya kutosha.

By the way ingekuwa mimi ningemwambia tu-do tuu kwa vile venue nshalipia. Halafu nahakikisha style za cku hiyo zinakuwa za ukweli zaidi!

Na kwa nini? Huwa haumpi za ukweli siku zote za nyumba. Kama mwizi mwizi tu hata ukimpa za ukweli siku hiyo akikutana na mwingine physically, not on line, bado atadanganya tu, hapo mtakuwa m-mepata somo kwamba kumbe wote si waaminifu. If u do me I do u, itakuwa inachukua nafasi.
 
Kama msichana ntasema nilijua tu toka mwanzo unanisaliti mpenzi wangu ndo maana nimekuja mpaka hapa kukukamata namgeuzia zali jamaa:wink2::wink2::wink2::wink2:
Badala ya kugombana si kitanda kipo karibu hapo hapo. Mnasuluhisha mambo mkiwa Wembley halafu mnarudi nyumbani kama vile ndiyo mmeonana kwanza. Halafu topic closed.
 
Siku za mwizi kweli.. ndugu yetu naye kalala nyumbani kwake na mkewe, ghafla mwanamke kashtuka usingizini na kumwamsha akisema 'amka mume wangu ndo huyo anabisha mlangoni' ...masikini mume mtu huyoo, dirishani akakimbilia nje...baadaye anashtuka mmh..hapa si kwangu hivi nnachokimbia nini...kisa hiki utasemaje sasa... nani mwenye mziki sasa:rain:

Bwa hah haa haahaha haahaha haahaaa! Duh you have made my evening!
 
tatizo wanawake w cku hz vicheche sana ....ht km 2mefumaniani mwanamke lazima nimtie vibao.

Na uache mambo yako ya uonevu...Umpige vibao kwa kosa lipi?
Au ndo unatumia nguvu zako...Mkuki kwa nguruwe eeeh!
 
Wanawake wa siku hizi eee, vipi na huyo mwanaume? aliyediriki na kutuma na tax na kupanga chumba unamsemeaje?

dini inaruhusu kuwa na wake wawili.kwan mwanamke anaruhucwa au ukicheche 2!!
 
Jamaa ana mpenziwe wamependa kiukweli wanavodai wao nakuelezana hivyo kiasi kwamba,password za bank card,e-mail wamepeana.Wameahidiana hawatakuja kusalitiana milele.

Wote hawa wana ujuzi kutumia mitandao ya kijamii kama huu.Wote wapo kwenye mtandao fulani na siku ya siku wakajikuta wanachati kwenye thread na mara Ku PM each other wakitumia majina yao ya bandia.Na kila mmoja asijue anachat na nani hasa.Ikafika point wakakubaliana kuwa wapenzi kwani walikua wanaambiana hawana wapenzi wengine.

Mambo yakaendelea hivi kule home wakirudi kila mtu akijifanya mtakatifu kwa mwenzie na kuonyeshana mapenzi motomoto wala hathubutu kutaja mchumba mpya wa kwenye mtandao.

Basi huko mtandaoni wakati wakichat wakakubaliana kwamba imefika muda sasa wakutane na kufahamiana zaidi.Mwanaume kampa location mwanamke kwamba akae hapo taxi itakuja kumchukua na kumpeleka hotel na chumba alipo.Siku haikukawia ikafika dada kachukuliwa kama ilivyo pangwa kupelekwa huko kwa mpenzi.Gari imefika Hotelini dada kapelekwa kaonyeshwa chumba,kagonga mlango,mlango ukafunguliwa......................guess what happened!!!!!alafu uniambie hii kesi itapelekwa mahakama gani?

Ni hadithi ya kupikwa lakini inaburudhisha. Asante!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom