ina maana hawakupeana number za simu? hata meeting waliarrange throgh mtandao?
Jamaa ana mpenziwe wamependa kiukweli wanavodai wao nakuelezana hivyo kiasi kwamba,password za bank card,e-mail wamepeana.Wameahidiana hawatakuja kusalitiana milele.
Wote hawa wana ujuzi kutumia mitandao ya kijamii kama huu.Wote wapo kwenye mtandao fulani na siku ya siku wakajikuta wanachati kwenye thread na mara Ku PM each other wakitumia majina yao ya bandia.Na kila mmoja asijue anachat na nani hasa.Ikafika point wakakubaliana kuwa wapenzi kwani walikua wanaambiana hawana wapenzi wengine.
Mambo yakaendelea hivi kule home wakirudi kila mtu akijifanya mtakatifu kwa mwenzie na kuonyeshana mapenzi motomoto wala hathubutu kutaja mchumba mpya wa kwenye mtandao.
Basi huko mtandaoni wakati wakichat wakakubaliana kwamba imefika muda sasa wakutane na kufahamiana zaidi.Mwanaume kampa location mwanamke kwamba akae hapo taxi itakuja kumchukua na kumpeleka hotel na chumba alipo.Siku haikukawia ikafika dada kachukuliwa kama ilivyo pangwa kupelekwa huko kwa mpenzi.Gari imefika Hotelini dada kapelekwa kaonyeshwa chumba,kagonga mlango,mlango ukafunguliwa......................guess what happened!!!!!alafu uniambie hii kesi itapelekwa mahakama gani?
Kama msichana ntasema nilijua tu toka mwanzo unanisaliti mpenzi wangu ndo maana nimekuja mpaka hapa kukukamata namgeuzia zali jamaa:wink2::wink2::wink2::wink2:
Sasa tatizo unasahau kuwa ameolewa kwa hiyo meeting isipokuwa chumbani anaweza kuonekana na kuzua maswali- kumbuka Chumbani kuna privacy ya kutosha.
By the way ingekuwa mimi ningemwambia tu-do tuu kwa vile venue nshalipia. Halafu nahakikisha style za cku hiyo zinakuwa za ukweli zaidi!
tatizo wanawake w cku hz vicheche sana ....ht km 2mefumaniani mwanamke lazima nimtie vibao.
Badala ya kugombana si kitanda kipo karibu hapo hapo. Mnasuluhisha mambo mkiwa Wembley halafu mnarudi nyumbani kama vile ndiyo mmeonana kwanza. Halafu topic closed.Kama msichana ntasema nilijua tu toka mwanzo unanisaliti mpenzi wangu ndo maana nimekuja mpaka hapa kukukamata namgeuzia zali jamaa:wink2::wink2::wink2::wink2:
Yaani hapo ni kubadili kibao tu nilikuwa nakuona tu kwenye laptop unavyochat na mimi nikajiunga ili nikukamate ha ha ha hiyo ni kali sana
Huyu sister na yeye kazidi. Yaani first meeting Chumbani?
Siku za mwizi kweli.. ndugu yetu naye kalala nyumbani kwake na mkewe, ghafla mwanamke kashtuka usingizini na kumwamsha akisema 'amka mume wangu ndo huyo anabisha mlangoni' ...masikini mume mtu huyoo, dirishani akakimbilia nje...baadaye anashtuka mmh..hapa si kwangu hivi nnachokimbia nini...kisa hiki utasemaje sasa... nani mwenye mziki sasa:rain:
tatizo wanawake w cku hz vicheche sana ....ht km 2mefumaniani mwanamke lazima nimtie vibao.
Na uache mambo yako ya uonevu...Umpige vibao kwa kosa lipi?
Au ndo unatumia nguvu zako...Mkuki kwa nguruwe eeeh!
Wanawake wa siku hizi eee, vipi na huyo mwanaume? aliyediriki na kutuma na tax na kupanga chumba unamsemeaje?
Jamaa ana mpenziwe wamependa kiukweli wanavodai wao nakuelezana hivyo kiasi kwamba,password za bank card,e-mail wamepeana.Wameahidiana hawatakuja kusalitiana milele.
Wote hawa wana ujuzi kutumia mitandao ya kijamii kama huu.Wote wapo kwenye mtandao fulani na siku ya siku wakajikuta wanachati kwenye thread na mara Ku PM each other wakitumia majina yao ya bandia.Na kila mmoja asijue anachat na nani hasa.Ikafika point wakakubaliana kuwa wapenzi kwani walikua wanaambiana hawana wapenzi wengine.
Mambo yakaendelea hivi kule home wakirudi kila mtu akijifanya mtakatifu kwa mwenzie na kuonyeshana mapenzi motomoto wala hathubutu kutaja mchumba mpya wa kwenye mtandao.
Basi huko mtandaoni wakati wakichat wakakubaliana kwamba imefika muda sasa wakutane na kufahamiana zaidi.Mwanaume kampa location mwanamke kwamba akae hapo taxi itakuja kumchukua na kumpeleka hotel na chumba alipo.Siku haikukawia ikafika dada kachukuliwa kama ilivyo pangwa kupelekwa huko kwa mpenzi.Gari imefika Hotelini dada kapelekwa kaonyeshwa chumba,kagonga mlango,mlango ukafunguliwa......................guess what happened!!!!!alafu uniambie hii kesi itapelekwa mahakama gani?