mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Nje ya muungano hakuna Zanzibar muungano ukivunjika zitatoka nchi tatu Tanganyika, Unguja na Pemba.
Natamani muungano uvunjike hata leo.
Kumbe watu waliowekewa vichwa vya nazi Tanganyika wapo wengi! Na hawa ndio wanakuja kua Maraisi wa kesho na kesho kutwa!