Kwakweli labda sijamuelewa, kuwa kuna mtu anaweza ku-cheat asikose sababu? Kila mtu anaona sababu yake ni ya muhimu ku-justify alichokifanya.
Na kuwa ukishaanza huwezi kujutia ukaacha? Pia, ni vema kufanya kile moyo wako unakipenda regardless ni kibaya-''kujipa raha siyo'' na sikamatwi (uzembe) basi nitaendelea kufanya kosa maana linadumisha ndoa? Siku ukikamatwa basi hapo ndo litakuwa kosa na waatu kukunyoshea kidole ni halali.
Na kuwa ukishaanza huwezi kujutia ukaacha? Pia, ni vema kufanya kile moyo wako unakipenda regardless ni kibaya-''kujipa raha siyo'' na sikamatwi (uzembe) basi nitaendelea kufanya kosa maana linadumisha ndoa? Siku ukikamatwa basi hapo ndo litakuwa kosa na waatu kukunyoshea kidole ni halali.