habari zenu wana jamvi?? Leo nimetafakari sana kwanini siku ya wajinga iwe ni tarehe 1 april? Ni jambo gani uliwahi kudanganywa miaka iliyopita katika siku ya wajinga na huwezi kulisahau?
Ulitaka iwe lini. na siku ya mwaka huu lazima nimtoe theboss usd usimwambie pls.
Mimi mwaka jana kuna rafiki yangu aliniambia nimkopeshe laki moja mama yake amelazwa. Nilipompa hela akacheka na kuniambia mama yake wala haumwi ila ameniongopea kwa vile ni siku ya wajinga.Nilipomwambia arudishe hela yangu alikataa na kuniambia eti mjinga harudishiwi pesa.Hajanirudishia mpaka leo.
Nadhani hii ipo kwa waafrika tu na siyo wenzetu weope huko ndo maana mpaka wajinga wanapewa siku yao na sidhani kama kumdanganya mtu na kufanya kile ulichomdanganya kuwa yeye ni mjinga hilo siyo kweli hata kidogo bali aliyemdanganya ndo ninaemchukulia ndo mjinga
Mimi mwaka jana kuna rafiki yangu aliniambia nimkopeshe laki moja mama yake amelazwa. Nilipompa hela akacheka na kuniambia mama yake wala haumwi ila ameniongopea kwa vile ni siku ya wajinga.Nilipomwambia arudishe hela yangu alikataa na kuniambia eti mjinga harudishiwi pesa.Hajanirudishia mpaka leo.
Mpeleke polisi ndio atajuwa yeye ndio mjinga.
sasa kesi ishafikisha mwaka polisi sidhani km wataikubali hiyo
Mpeleke polisi ndio atajuwa yeye ndio mjinga.