jaman wana jf leo ni siku ya pili kuwa humu ndan na sekunde baada ya sekunde nazid kunogewa cjui ntalog off saa ngap!
jaman wana jf leo ni siku ya pili kuwa humu ndan na sekunde baada ya sekunde nazid kunogewa cjui ntalog off saa ngap!
endelea ivo ivo hadi mkeo atakapokupiga shoka la utosi kwa kung'ang'ania ki simu.
Baada ya hapo utajua kubalansi dayati ya jf.
endelea kunogewa tu
bombu ukipewa na mm naomba unipe kidogo!Zabibu naomba hizo zabibu
Jitahidi ufanye kazi. Sio kila saa upo jf huku mambo mengine yanayumba.
bombu ukipewa na mm naomba unipe kidogo!