Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Kuna jamaa yangu alikuwa akisoma pale Ikizu.
Siku ya mtihani aliandika mistari yake ya majibu kwenye FAN lile la (panga boi) usawa na kiti chake,kisha akawa anapigia chabo kujibu mtihani.
Kituko ni pale alipo kuja msimamizi na kuiwasha FAN maana alikuwa anasikia joto!!
Happy new year!!!!
Siku ya mtihani aliandika mistari yake ya majibu kwenye FAN lile la (panga boi) usawa na kiti chake,kisha akawa anapigia chabo kujibu mtihani.
Kituko ni pale alipo kuja msimamizi na kuiwasha FAN maana alikuwa anasikia joto!!
Happy new year!!!!