Duh!kuona nn tena,spesify kidogo maana mie nishaona vingi atiii!
Bado sijaiona.
Nilishangaa..!! Then nikafurahi sana mpaka nikalia.
Amyner ! Nimekukubali.
Swali Tata
kwa
Jibu Tata !
Swali la kichina
jibu la kikorea.
Bado sijaiona.
Hahaha kwani we judgement siku ya kwanza kuiona ilikuaje?
niambie nipapase wapi nione.Na umri huo bado hujaonaga tu ? Vingine huonwa kwa kupapaswa pia !
Si lazima kwa matto (macho)
ushan'fahamu (pronounce kipemba)
husny we hujaiona nini??
Bado sijaiona.
kinachoongelewa hapa sijakiona amy. Mzima wewe? Mpatanishi anakutafuta.
niambie nipapase wapi nione.
Mi mzima mwaya, halafu kinachoongelewa hapa nimekiona ila kinatisha kidogo bora hujakiona!
Mpatanishi utamuweza basi, kashindwa masharti sijui katokomea wapi!
Nilifurahi sana nikashukuru Mungu kuniumba duniani.
Mi mzima mwaya, halafu kinachoongelewa hapa nimekiona ila kinatisha kidogo bora hujakiona!
Mpatanishi utamuweza basi, kashindwa masharti sijui katokomea wapi!
Nenda pale bondeni utakuta kuna jamaa kasimama katikati ya matofali mawili
kinachoongelewa hapa sijakiona amy. Mzima wewe? Mpatanishi anakutafuta.