Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,198
- 78,101
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
...safi sana..Nilifurahi sana nikashukuru Mungu kuniumba duniani.
Duh!kuona nn tena,spesify kidogo maana mie nishaona vingi atiii!....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
Kuiona nini??? Au umejibu kwanza then utamuuliza kwenye PM?Nilifurahi sana nikashukuru Mungu kuniumba duniani.
Kuiona nini??? Au umejibu kwanza then utamuuliza kwenye PM?
unapenda PM eeh sisi tushaelewana hapa hapa.
Nilifurahi sana nikashukuru Mungu kuniumba duniani.
Kwenye Dunia ya shida na taabu mingi!
..hahahahahaahaha..unanichekesha sasa
Mi sijaelewa ngoja nile kwanza labda njaa ndo inanizinguaunapenda PM eeh sisi tushaelewana hapa hapa.
We Kabakabana mbona unanipa madongo aisee??? Tatizo Mtu Chake hajawa muwazi kwenye swali lake so lazma lizingue....usihofu huyu ndugu yangu bila PM siku haiendi vizuri
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
tuanzishe basi sredi zenye akili!!kha. hatupo fb hapa.
We Kabakabana mbona unanipa madongo aisee??? Tatizo Mtu Chake hajawa muwazi kwenye swali lake so lazma lizingue....
Ila nshamuelewa...ngoja nampa jibu sasa hivi
Teh vuta subira kakahapa ni JF Chit Chat
Nakusubiria
Ndio uandike sredi vimini!!.hapa ni JF Chit Chat