PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Kundi hilo linalopinga adhabu hiyo ndilo kundi linaloshirikiana na wauaji majambazi sugu ambao wizi na utekaji wa mali za wananchi wanaupata kwa kutekeleza mauaji.
Kundi hilo linalopinga ni kundi hatari sana hapa duniani (Mafia) limetapakaa dunia nzima na hilo wanalolitetea kwa muda huu ni azimio lao kuwa likipita watakuwa salama katika mikono ya serikali endapo watakamatwa.
Hukumu ya muuaji ni kuuliwa tu hakuna mbadala.Na kama wakifanikiwa kuifuta raia itabidi tufanye Upinda ,papo kwa papo.Akuna kufikishana polisi wala mahakamani. Hongera Pinda huna haja ya kutoa machozi wananchi walikuwa awajaona ulipopaona.
Nadhani ni hivyo Mkuu!
Sidhani kama unahitajika mjadala mrefu hapa!
Auaye kwa upanga atakufa kwa upanga!