Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Wana-Jamiiforum Members and guests,nashauri iwepo siku ya HASIRA Tazania ili tuweze kuwaweka viongozi wetu kwenye mstari kipindi hiki cha mageuzi ya kiuchumu tuendane na soko huria na utandawazitusije achwa wazi bila chupi na mataifa ya Jirani kama Burundo,Rwanda na Uganda.
Hata Somalia watatupita muda si mrefu.
Hata Somalia watatupita muda si mrefu.