Madame B JF-Expert Member Apr 9, 2012 29,948 32,200 Oct 12, 2012 #21 philipo kidwanga said: kizaramo au ? Click to expand... Umetaka htmisho au jibu la swali lako?
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Oct 12, 2012 #23 Kongosho said: Wee sonona yako kuroniki, ndo maana hutaki kuacha Click to expand... Hiyo sonona ndiyo inataka tusker baridiiiiiiii! Umenikumbusha ngoja niwahi baa
Kongosho said: Wee sonona yako kuroniki, ndo maana hutaki kuacha Click to expand... Hiyo sonona ndiyo inataka tusker baridiiiiiiii! Umenikumbusha ngoja niwahi baa
Mwanyasi JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,955 7,101 Oct 13, 2012 #24 usiniharibie wikendi yangu bure, mitaa ya sinza nyama choma na safari laga....................! Umesema ugonjwa unaitwaje tena?
usiniharibie wikendi yangu bure, mitaa ya sinza nyama choma na safari laga....................! Umesema ugonjwa unaitwaje tena?
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Oct 13, 2012 #25 Hii promo kama hujatumwa na wenye hospitali utasababisha mafuriko ya wagonjwa! Hujawaambia kuwa matibabu ni bureee
Hii promo kama hujatumwa na wenye hospitali utasababisha mafuriko ya wagonjwa! Hujawaambia kuwa matibabu ni bureee
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Oct 15, 2012 #26 Madame B said: Umetaka htmisho au jibu la swali lako? Click to expand... kwki kwi kwi yote mawili.