Niambie kina nani nikwambie mapema...Kuna watu ambao nina hamu yakuwaona! Naimagine watakuwa wanafananaje
nitafurahi nikikuona wewe umekumbatiana na SalimiaNiambie kina nani nikwambie mapema...
ha ha ha.......wacha kabisa........utaniona siku hiyo
Ili iweje?!nitafurahi nikikuona wewe umekumbatiana na Salimia
Tena wewe ni mmoja wao...I can't imagine!!Niambie kina nani nikwambie mapema...
Owkey mi kibonge kidogo...sio mrefu wala mfupi...maji ya kunde...macho makubwa...nywele nimesokota rasta...mavazi yangu na pensi nyanya tu.Taja wengine nikusaidie!Tena wewe ni mmoja wao...I can't imagine!!
Mhhhhh natoa shilingi!!!!!!!!!!!!!!!Owkey mi kibonge kidogo...sio mrefu wala mfupi...maji ya kunde...macho makubwa...nywele nimesokota rasta...mavazi yangu na pensi nyanya tu.Taja wengine nikusaidie!
Maana yake......?!Mhhhhh natoa shilingi!!!!!!!!!!!!!!!