Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Where is she now?
Tatizo wanawake wengi mkishaolewa unajiachia sana na kujisahau. Angalia sasa first Lady anaonekana kama Shangazi yake Uhuru! Kha. Badlikeni bana....
Yupo ile pembeni ya mume ake, Uhuru. Ila yeye hapendi ile kuzungumza na media. Na kwa kichwa ameweka ile bati ya kizamani,inang'aa,inameremeta sio kama ile ya kigae, ya rangi rangi.
Link 1. Unveiling Uhuru Kenyatta