Siku timu ya Taifa ilipocheza vifua wazi

Kaka/dada zomba sio kosa lako ni matokeo ya hila za Ponda na Mohamed Said ndio zimekufanya mind yako iwe na mtazamo wa aina hiyo;
kupitia radio imaan na mihadhara ya magomeni na manzese
 
Last edited by a moderator:
Pichani ni aliyekuwa Rais wa Sudan, Bwana Jaafar Mohammed Numeir (Wa kwanza Kulia Mwenye Suti) akiongozwa na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Bwana Abdulrahman Juma (Katikati Mwenye Kaptula Nyeupe) kusalimiana na Mchezaji wa Nguli wa Taifa Starz Bwana Omar Zimbwe huku Wachezaji wa Taifa Starz wakiwa Vifua wazi bila Jezi.

46523_473052732739765_335542464_n.jpg





Wa Kwanza Kushoto anayeangalia ni Mchezaji Mohamed chu
ma "Shoto" na wanaonekana nyuma ya Nahodha Abdulrahman ni Wachezaji Mashuhuri Kitwana Manara "Popat" na Abdallah "King" Kibaden Mputa, hapa ilikuwa katika Uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Zamani wa Taifa, Jijini Dar es salaam).

Watu wengi wanapenda kuandika kuwa Mechi hii Taifa Stars walicheza vifua wazi (Bila Jezi) na sudan baada ya kukosekana jezi, Lakini ukweli wa mambo haukuwa hivyo bali kilichotokea ni kuwa Timu zote Mbili zilikuja Uwanjani zikiwa na Jezi zinazofanana.

Kwa mujibu wa Kanuni, Sheria na Taratibu za Shirikisho la Soka Duniani, FIFA ni kwamba kunapotokea Timu mbili zina jezi zinazofanana basi ile ambayo iko nyumbani (Wenyeji) ndiyo inatakiwa ibadilishe jezi, Taifa Stars hawakwenda Uwanjani na Jezi za Ziada.

Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.

Acha uongo bana, mbona hata hizo kaptula walizovaa hazifananani!!.
 

Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan
Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.

Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.

Duh.. Mkuu Zomba chuki kwa Nyerere inakufanya ushindwe hata kuona hapo kwenye red letters..? Na sababu umeambiwa kwamba jezi zilifanana..

Labda unijuze.. Amekufanyia nini kibaya kiaci cha kuwa na chuki iliopitiliza dhidi ya Marehemu Nyerere..?
 
Walikuwa wanapiga kazi km kawa..............sasa hawa maproo wetu wa siku hizi ni balaa tupu!
 
Kaka/dada zomba sio kosa lako ni matokeo ya hila za Ponda na Mohamed Said ndio zimekufanya mind yako iwe na mtazamo wa aina hiyo;
kupitia radio imaan na mihadhara ya magomeni na manzese

Wewe mtazamo wako upi? ni wakati wa kiongozi yupi hiyo picha? na wakati huo usishngae ya kukosa jezi, watu hata sukat=ri ilikuwa kilo kwa wiki kwa kaya, tulikuwa tunakimbiza gari la kusambaza hatujui lina nini, unafika unaambiwa leo kuna vibiriti, kaeni foleni. Hukuwepo kijana, tumetoka mbali na hakuna wakati mbaya tuliouishi Watanzania tuliopo hai tokea ukoloni kama wakati wa Nyerere, hilo ukipenda usipende ndio ukweli.
 
Duh.. Mkuu Zomba chuki kwa Nyerere inakufanya ushindwe hata kuona hapo kwenye red letters..? Na sababu umeambiwa kwamba jezi zilifanana..

Labda unijuze.. Amekufanyia nini kibaya kiaci cha kuwa na chuki iliopitiliza dhidi ya Marehemu Nyerere..?

Nilikuwepo uwanjani, sababu haikuwa jezi kufanana, mdanganywe mliokuwa hampo. Sababu ni uzembe na mpira ulianza kuchezwa kabla jezi hazijaja.
 
Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.

mkuu wakati mwingine napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri, jaribu kufikiri ww ni baba wa familia pesa unaacha nyumbani za matumizi lakini watoto wanalala njaa nani wa kulaumiwa kwanza
 
Ni wakati wa Nyerere tu nchi hii ilikuwa na maendeleo mkubwa katika soka
1. kucheza mataifa ya Afrika( 1980) Lagos
2. Wachezaji wetu 2 kuchaguiwa kombaini ya Afrika
3. Vikombe vya Afrika Mashariki na kati kwa vilabu(simba na Yanga) na timu ya Taifa

Haya, hizi za facebook na twiter mnajivunia nini
 
Alikuwa Rais wa Tanzania na Chama cha mpira kilikuwa chini ya wizara ya michezo.

hivi wewe akili zako sawa kweli? yaani umeruka mwenyekiti wa FAT, waziri wa michezo unamlaumu rais!we hauwezi kuwa huna ubongo wa pimbi mwehu! kwa hiyo na kipindi kile CD zilipogoma kupiga national anthem pale uwanja wa taifa ulitaka alaumiwe kikwete? mbuzi kavimba wee!!
 
hivi wewe akili zako sawa kweli? yaani umeruka mwenyekiti wa FAT, waziri wa michezo unamlaumu rais!we hauwezi kuwa huna ubongo wa pimbi mwehu! kwa hiyo na kipindi kile CD zilipogoma kupiga national anthem pale uwanja wa taifa ulitaka alaumiwe kikwete? mbuzi kavimba wee!!

Wewe unajuwa mpira ulikuwa unaongozwa vipi? au unajisemea tu?

Unataka alaumiwe nani Kikwete? wakati uzembe ulikuwa kila sehemu si kwenye jezi tu.

Kuhusu CD, alifanywa nini aliyekuwa na jukumu hilo?
 
Sizani kama kichwa chako kiko sawa.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Wewe chako kilichokuwa sawa, huo ulikuwa wakati wa nani? na nini kilikuwa kinafanyika sawa? msisifu kwa kuwa mmejazwa Ubaguzi wa Ujinga.
 
mkuu wakati mwingine napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri, jaribu kufikiri ww ni baba wa familia pesa unaacha nyumbani za matumizi lakini watoto wanalala njaa nani wa kulaumiwa kwanza

Baba wa familia anatakiwa awalishe awavishe watu wa nyumbani kwake, hatakiwi awache pesa, mzae mwanao leo halafu mpe pesa uone kama zitamshibisha.

Wakati wa Nyerere hata kula ilikuwa shida, una pesa mfukoni huna cha kukinunuwa, au hujui hilo?
 
Baba wa familia anatakiwa awalishe awavishe watu wa nyumbani kwake, hatakiwi awache pesa, mzae mwanao leo halafu mpe pesa uone kama zitamshibisha.

Wakati wa Nyerere hata kula ilikuwa shida, una pesa mfukoni huna cha kukinunuwa, au hujui hilo?

Mkuu umesahau kitu kimoja kila kitu ukitaka sharti uende RTC upange foleni
 
Pichani ni aliyekuwa Rais wa Sudan, Bwana Jaafar Mohammed Numeir (Wa kwanza Kulia Mwenye Suti) akiongozwa na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Bwana Abdulrahman Juma (Katikati Mwenye Kaptula Nyeupe) kusalimiana na Mchezaji wa Nguli wa Taifa Starz Bwana Omar Zimbwe huku Wachezaji wa Taifa Starz wakiwa Vifua wazi bila Jezi.

46523_473052732739765_335542464_n.jpg





Wa Kwanza Kushoto anayeangalia ni Mchezaji Mohamed chu
ma "Shoto" na wanaonekana nyuma ya Nahodha Abdulrahman ni Wachezaji Mashuhuri Kitwana Manara "Popat" na Abdallah "King" Kibaden Mputa, hapa ilikuwa katika Uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Zamani wa Taifa, Jijini Dar es salaam).

Watu wengi wanapenda kuandika kuwa Mechi hii Taifa Stars walicheza vifua wazi (Bila Jezi) na sudan baada ya kukosekana jezi, Lakini ukweli wa mambo haukuwa hivyo bali kilichotokea ni kuwa Timu zote Mbili zilikuja Uwanjani zikiwa na Jezi zinazofanana.

Kwa mujibu wa Kanuni, Sheria na Taratibu za Shirikisho la Soka Duniani, FIFA ni kwamba kunapotokea Timu mbili zina jezi zinazofanana basi ile ambayo iko nyumbani (Wenyeji) ndiyo inatakiwa ibadilishe jezi, Taifa Stars hawakwenda Uwanjani na Jezi za Ziada.

Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.

Nmeipenda picha!
 
Kwani ilikuwa mwaka gani Mkuu..?

Huo ulikuwa mwaka wa 70, wakati wa Afro 70. Nyerere hapo kisha taifisha mali za watu kwa miaka 3, kila kitu kinaanza kuyumba.

Baba yako alikuwepo?

Ukishindwa kujibu hilo nakuuliza, toka kuzaliwa kwako, umeshaona Mbwa, Paka, Panya na Kunguru wakila pamoja jalalani?
 
Back
Top Bottom