zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wakati wa JK cd ilipiga wimbo wa alaji as wimbo wa taifa.
Aliyefanya hivyo alichukuliwa hatua gani? Wakati wa JK aka Julius Kambarage, kulikuwa kuna wimbo huo?
Wakati wa JK cd ilipiga wimbo wa alaji as wimbo wa taifa.
Pichani ni aliyekuwa Rais wa Sudan, Bwana Jaafar Mohammed Numeir (Wa kwanza Kulia Mwenye Suti) akiongozwa na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Bwana Abdulrahman Juma (Katikati Mwenye Kaptula Nyeupe) kusalimiana na Mchezaji wa Nguli wa Taifa Starz Bwana Omar Zimbwe huku Wachezaji wa Taifa Starz wakiwa Vifua wazi bila Jezi.
Wa Kwanza Kushoto anayeangalia ni Mchezaji Mohamed chuma "Shoto" na wanaonekana nyuma ya Nahodha Abdulrahman ni Wachezaji Mashuhuri Kitwana Manara "Popat" na Abdallah "King" Kibaden Mputa, hapa ilikuwa katika Uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Zamani wa Taifa, Jijini Dar es salaam).
Watu wengi wanapenda kuandika kuwa Mechi hii Taifa Stars walicheza vifua wazi (Bila Jezi) na sudan baada ya kukosekana jezi, Lakini ukweli wa mambo haukuwa hivyo bali kilichotokea ni kuwa Timu zote Mbili zilikuja Uwanjani zikiwa na Jezi zinazofanana.
Kwa mujibu wa Kanuni, Sheria na Taratibu za Shirikisho la Soka Duniani, FIFA ni kwamba kunapotokea Timu mbili zina jezi zinazofanana basi ile ambayo iko nyumbani (Wenyeji) ndiyo inatakiwa ibadilishe jezi, Taifa Stars hawakwenda Uwanjani na Jezi za Ziada.
Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.
Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.
Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.
Kaka/dada zomba sio kosa lako ni matokeo ya hila za Ponda na Mohamed Said ndio zimekufanya mind yako iwe na mtazamo wa aina hiyo;
kupitia radio imaan na mihadhara ya magomeni na manzese
Duh.. Mkuu Zomba chuki kwa Nyerere inakufanya ushindwe hata kuona hapo kwenye red letters..? Na sababu umeambiwa kwamba jezi zilifanana..
Labda unijuze.. Amekufanyia nini kibaya kiaci cha kuwa na chuki iliopitiliza dhidi ya Marehemu Nyerere..?
Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.
Sizani kama kichwa chako kiko sawa.Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.
Alikuwa Rais wa Tanzania na Chama cha mpira kilikuwa chini ya wizara ya michezo.
hivi wewe akili zako sawa kweli? yaani umeruka mwenyekiti wa FAT, waziri wa michezo unamlaumu rais!we hauwezi kuwa huna ubongo wa pimbi mwehu! kwa hiyo na kipindi kile CD zilipogoma kupiga national anthem pale uwanja wa taifa ulitaka alaumiwe kikwete? mbuzi kavimba wee!!
Sizani kama kichwa chako kiko sawa.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
mkuu wakati mwingine napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri, jaribu kufikiri ww ni baba wa familia pesa unaacha nyumbani za matumizi lakini watoto wanalala njaa nani wa kulaumiwa kwanza
Baba wa familia anatakiwa awalishe awavishe watu wa nyumbani kwake, hatakiwi awache pesa, mzae mwanao leo halafu mpe pesa uone kama zitamshibisha.
Wakati wa Nyerere hata kula ilikuwa shida, una pesa mfukoni huna cha kukinunuwa, au hujui hilo?
Huo ndio wakati wa Nyerere. Halafu bado watu wanamsifia.
Nilikuwepo uwanjani, sababu haikuwa jezi kufanana, mdanganywe mliokuwa hampo. Sababu ni uzembe na mpira ulianza kuchezwa kabla jezi hazijaja.
Pichani ni aliyekuwa Rais wa Sudan, Bwana Jaafar Mohammed Numeir (Wa kwanza Kulia Mwenye Suti) akiongozwa na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Bwana Abdulrahman Juma (Katikati Mwenye Kaptula Nyeupe) kusalimiana na Mchezaji wa Nguli wa Taifa Starz Bwana Omar Zimbwe huku Wachezaji wa Taifa Starz wakiwa Vifua wazi bila Jezi.
Wa Kwanza Kushoto anayeangalia ni Mchezaji Mohamed chuma "Shoto" na wanaonekana nyuma ya Nahodha Abdulrahman ni Wachezaji Mashuhuri Kitwana Manara "Popat" na Abdallah "King" Kibaden Mputa, hapa ilikuwa katika Uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Zamani wa Taifa, Jijini Dar es salaam).
Watu wengi wanapenda kuandika kuwa Mechi hii Taifa Stars walicheza vifua wazi (Bila Jezi) na sudan baada ya kukosekana jezi, Lakini ukweli wa mambo haukuwa hivyo bali kilichotokea ni kuwa Timu zote Mbili zilikuja Uwanjani zikiwa na Jezi zinazofanana.
Kwa mujibu wa Kanuni, Sheria na Taratibu za Shirikisho la Soka Duniani, FIFA ni kwamba kunapotokea Timu mbili zina jezi zinazofanana basi ile ambayo iko nyumbani (Wenyeji) ndiyo inatakiwa ibadilishe jezi, Taifa Stars hawakwenda Uwanjani na Jezi za Ziada.
Mara baada ya Ukaguzi uliofanywa na Rais Jaafar Mohammed Al- Numeir wa Sudan Starz waliletewa Jezi Nyengine na ndipo Mpira ukaanza huku Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Uwanjani hapo kushuhudia Aibu hiyo ya Mwaka.
Kwani ilikuwa mwaka gani Mkuu..?