benjamini org
Member
- Nov 1, 2016
- 41
- 6
Naomba msaada kuhusu period ya mwanamke je? ntawezaje kujua siku salama na za hatari kwa mwaanamke.
NAOMBA MSAADA KAKA MIMI SIFAHAMU VIZURITuwarudisheni jandoni sasa, maana maswali kama hili yanaonyesha wazi kuwa mnasoma lakini hamuelimiki
Ndio inawezekana, chukua ndizi mbichi, zimenye kisha zionshe kwa maji safi na baridi.NAOMBA MSAADA KUHUSU PERIOD YA MWANAMKE JE??? NTAWEZAJE KUJUA SIKU SALAMA NA ZA HATARI KWA MWAANAMKE?????????
HAMNA MAANA YA KUFUNGUA UZI HUU PEOPLE NT SRIOUSNdio inawezekana, chukua ndizi mbichi, zimenye kisha zionshe kwa maji safi na baridi.
Baada ya hapo zichemshe kwa muda wa nusu saa, kisha weka nyama au Samaki iliyokwisha pikwa ikaiva, katika katia nyanya na kitunguu, viache vichemke kwa pamoja kwa muda wa robo saa, kisha pakua mpe ale, we mpe ale ale ale ale, mmiminie na juisi glas moja, ikifika kesho yake yupo vizuri na hana njaa, basi ujue alikuwa vizuri siku ya jana.
PoleHAMNA MAANA YA KUFUNGUA UZI HUU PEOPLE NT SRIOUS
Ungetoa direction kuwa linasomwaje kuliko wewe kurusha picha tu.Siku salama itakufaa ila si H.I.VView attachment 432763
duh wajaribu bahati yaoSiku salama itakufaa ila si H.I.VView attachment 432763
Inategemea huyo mtu anacycle ipi kuna cycle ndefu kuna normal pia kuna cycle fupi ukishajua uko group lipi ni rahisi kujua siku Salama na za hatari