Wee mkuu Nyengo ulitegemea nini hapo. Mti wa mwarobaini hauwezi ukazaa chungwa. Baba yake mbona katoa ahadi kibao mpaka sasa hivi hamnakitu kilichofanyika. Hiyo familia ni AHADI AHADI AHADI CHUKI CHUKI CHUKI VISASI VISASI KWA KWENDA MBELE. kwa hiyo hiyo imetoka ndugu yangu. Huenda ukimwuuliza siku 7 ulizoahidi juu ya Dr. imekuwaje, atakuwa ameshasahau kama alitoa tishio kama hilo na atakuambia mnaidama familia yake na kwamba mna wivu.wanajamii ivi zile siku saba alizopewa dr slaa na riz1 za kuomba radhi, zimeishia wapi?