Siku rasmi ya kitaifa ya msamaha - National Sorry day

WomanOfSubstance

JF-Expert Member
May 30, 2008
5,457
956
Watanzania kama Taifa tuna majeraha ya kila aina na hii imejidhihirisha kwenye mijadala mingi sana hapa JF.

Wapo wanaoona walikosewa kutokana na imani/dini zao; kutokana na itikadi zao, maeneo wanayotoka, jinsi walivyotendewa na viongozi wao n.k.


Wapo wanaodhania hakuna namna nyingine zaidi ya kupambana kwa maneno au hata matendo.Lakini tupo wengine tunaodhani bado kuna nafasi ya kuponyeshana majeraha kama yapo.

Nimejaribu kuangalia jamii nyingine zilizojikuta kwenye hali ya kugawanyika kwa sababu ya maumivu waliwezaje kushughulikia tatizo. Afrika ya Kusini kwa mfano, walipopata uhuru ilibidi wapitie mchakato wa usuluhishi maana pasingetosha ukikumbuka makaburu walivyowafanyia vibaya weusi kwa siasa za unaguzi wa rangi.

Australia nako kulikuwa na sentiments kwamba wazawa - aborigines walisukumwa pembezoni na hata kuuawa.Wao walianzisha Siku ya kitaifa ya kuombana msamaha The National Sorry Day ilanzishwa 1998 kama namna ya kusawazisha yale ambayo hayakuwa sawa.

Nikawa najiuliza huenda kuna jamii/nchi nyingine nazo zenye utaratibu tofauti.

Binafsi sikuwa najua kuna 'damu mbaya" kiasi hili kwa mfano miongoni mwa wenye imani ya Kiislamu kuwa serikali zilizopita zilionea waislam!


Ikiwa tutakuwa na utaratibu wa kutibu majeraha, isingekuwa jambo jema zaidi kuliko malumbano yasiyoisha? Je itaweza kuondoa chuki, hasira na kinyongo kilichopo?
 
Watanzania kama Taifa tuna majeraha ya kila aina na hii imejidhihirisha kwenye mijadala mingi sana hapa JF.

Wapo wanaoona walikosewa kutokana na imani/dini zao; kutokana na itikadi zao, maeneo wanayotoka, jinsi walivyotendewa na viongozi wao n.k.


Wapo wanaodhania hakuna namna nyingine zaidi ya kupambana kwa maneno au hata matendo.Lakini tupo wengine tunaodhani bado kuna nafasi ya kuponyeshana majeraha kama yapo.

Nimejaribu kuangalia jamii nyingine zilizojikuta kwenye hali ya kugawanyika kwa sababu ya maumivu waliwezaje kushughulikia tatizo. Afrika ya Kusini kwa mfano, walipopata uhuru ilibidi wapitie mchakato wa usuluhishi maana pasingetosha ukikumbuka makaburu walivyowafanyia vibaya weusi kwa siasa za unaguzi wa rangi.

Australia nako kulikuwa na sentiments kwamba wazawa - aborigines walisukumwa pembezoni na hata kuuawa.Wao walianzisha Siku ya kitaifa ya kuombana msamaha The National Sorry Day ilanzishwa 1998 kama namna ya kusawazisha yale ambayo hayakuwa sawa.

Nikawa najiuliza huenda kuna jamii/nchi nyingine nazo zenye utaratibu tofauti.

Binafsi sikuwa najua kuna 'damu mbaya" kiasi hili kwa mfano miongoni mwa wenye imani ya Kiislamu kuwa serikali zilizopita zilionea waislam!


Ikiwa tutakuwa na utaratibu wa kutibu majeraha, isingekuwa jambo jema zaidi kuliko malumbano yasiyoisha? Je itaweza kuondoa chuki, hasira na kinyongo kilichopo?

Sasa nakuelewa kwanini unahitaji nchi ipate sala maana imeharibika kwasababu wewe ni WOMENOFSUBSTANCE
 
Watanzania kama Taifa tuna majeraha ya kila aina na hii imejidhihirisha kwenye mijadala mingi sana hapa JF.

Wapo wanaoona walikosewa kutokana na imani/dini zao; kutokana na itikadi zao, maeneo wanayotoka, jinsi walivyotendewa na viongozi wao n.k.


Wapo wanaodhania hakuna namna nyingine zaidi ya kupambana kwa maneno au hata matendo.Lakini tupo wengine tunaodhani bado kuna nafasi ya kuponyeshana majeraha kama yapo.

Nimejaribu kuangalia jamii nyingine zilizojikuta kwenye hali ya kugawanyika kwa sababu ya maumivu waliwezaje kushughulikia tatizo. Afrika ya Kusini kwa mfano, walipopata uhuru ilibidi wapitie mchakato wa usuluhishi maana pasingetosha ukikumbuka makaburu walivyowafanyia vibaya weusi kwa siasa za unaguzi wa rangi.

Australia nako kulikuwa na sentiments kwamba wazawa - aborigines walisukumwa pembezoni na hata kuuawa.Wao walianzisha Siku ya kitaifa ya kuombana msamaha The National Sorry Day ilanzishwa 1998 kama namna ya kusawazisha yale ambayo hayakuwa sawa.

Nikawa najiuliza huenda kuna jamii/nchi nyingine nazo zenye utaratibu tofauti.

Binafsi sikuwa najua kuna 'damu mbaya" kiasi hili kwa mfano miongoni mwa wenye imani ya Kiislamu kuwa serikali zilizopita zilionea waislam!


Ikiwa tutakuwa na utaratibu wa kutibu majeraha, isingekuwa jambo jema zaidi kuliko malumbano yasiyoisha? Je itaweza kuondoa chuki, hasira na kinyongo kilichopo?

Inaelekea unafanyaga makosa, hata mengine ya makusudi
 
duniani hakuna dhambi mbaya kama dhambi ya uoga, ukiacha kuogopa hautafanya makosa ya kijinga
 
Wewe Uhuru wa bendera wewe a.k.a Freedom of Flag (lol)..... acha utani kwenye kitu nyeti.... unadhani tunakoelekea kuzuri?
 
Back
Top Bottom