BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
mkuu kwenye hiyo topten mbona tanzania haimo?
Kwenye hiyo poll, Tanzania ipo kwenye range ya 50-74% ya kutoa rushwa.
Rushwa ni mbaya..Hapa nyumbani kuna maeneo ya msingi ambayo ni haki kwa mwananchi ila kuhudumiwa ni mpaka utoe rushwa. inadidimiza sana maendeleo na kadiri siku zinavyoenda imekuwa kama part ya maisha bongo.