mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Mkuu
Mizabwa mwl wako aliwezaje kutangaza kifo cha PM kabla ya rais?. Maana taarifa kamili ilitolewa saa za jioni na si mchana.
Mkuu jaribu kukumbuka vizuri. Hiyo ndiyo mida binafsi tuliyopata taarifa.
Miaka ile mashuleni kulikuwa na Redio. Hiyvo taarifa ilitangazwa redioni.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!