napendekeza badala ya kuwapa wananchi taarifa za mikutano mbalimbali
ya kisiasa wakati wa taarifa za habari tu na tena usiku,ni vyema vyombo vya habari wakatenga muda wa wiki hii na haswa mchana kwa wale watakaokuwa hawabanwi na majukumu na marudi jioni kuwapa nafasi wale wa makazini,na vipindi vihusishe mtazamo na malengo yao kwa tz ya kesho yenye neema,watu wawapime wagombea wote na kufanya maamuzi sahihi,wito kwa tv zetu za umma na binafsi,taifa letu sote tuwasaidie watu wawajue viongozi watakaotutoa kwenye msiba huu wa umasikini,tuweke uzalendo mbele
ya kisiasa wakati wa taarifa za habari tu na tena usiku,ni vyema vyombo vya habari wakatenga muda wa wiki hii na haswa mchana kwa wale watakaokuwa hawabanwi na majukumu na marudi jioni kuwapa nafasi wale wa makazini,na vipindi vihusishe mtazamo na malengo yao kwa tz ya kesho yenye neema,watu wawapime wagombea wote na kufanya maamuzi sahihi,wito kwa tv zetu za umma na binafsi,taifa letu sote tuwasaidie watu wawajue viongozi watakaotutoa kwenye msiba huu wa umasikini,tuweke uzalendo mbele