Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
- Thread starter
- #101
Unaniuma UFISADI wa kula hela za Walimu wanyonge unaofanywa na CWT. nimepata habari kuwa walimu wa Teachers Colleges wanataka kujitoa CWT kutokana na wimbi kali la ufisadi unaofanywa na jamaa kwa kujali matumbo yao wakidai wanatetea walimu
Mkuu makame, mimi niko salama kabisa Ni serikali pekee ndiyo inayopeleka Raia wake waloiweka madarakani kuwateka na kuwatesa mabwepande nashukuru Mungu anatupigania tupo salama
NILIKUWA NAMAANISHA HIZO PESA NI MICHANGO YETU HATA KAMA INGETUMIKA BILIONI 1 KWA AJILI YA HUU MGOMO SIO TABU AS LONG AS IMEPITISHWA NA WAJUMBE WENYE NGUVU YA KISHERIA YA KUPITISHA.
WEWE AMBAYE SIO MWANACHAMA UNAPATA TABU YA NINI KWA PESA AMBAZO SIO YAKO? KINA KUUMA NINI?